ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Nasikiliza hapa Crown Sports ya Crown FM, wachambuzi wa kipindi hiko wanajadili ile faulo iliyozaa goli la Simba.
Hans anasema sio goli halali kwakuwa mpira ulianzishwa katika eneo sio sahihi kwakuwa ulisogezwa.
Geoff Lea anasema goli ni halali kwakuwa sio lazma mpira uanzishwe eneo lile lile.
Basi wakaanza kubishana kwa virugu huku kipindi kikiwa live. Tatizo kuu Hans Raphael huwa hawapi nafasi wenzake kila saa anataka kuongea yeye.
Mwisho wa siku, Hans akamuambia Geoff kuwa ujue tupo live, Geoff akamjibu kwahyo sisi tunaongea pumba na wewe pekee yako ndio unaongea point!!
Hii imekaaje kitaaluma?
Hans anasema sio goli halali kwakuwa mpira ulianzishwa katika eneo sio sahihi kwakuwa ulisogezwa.
Geoff Lea anasema goli ni halali kwakuwa sio lazma mpira uanzishwe eneo lile lile.
Basi wakaanza kubishana kwa virugu huku kipindi kikiwa live. Tatizo kuu Hans Raphael huwa hawapi nafasi wenzake kila saa anataka kuongea yeye.
Mwisho wa siku, Hans akamuambia Geoff kuwa ujue tupo live, Geoff akamjibu kwahyo sisi tunaongea pumba na wewe pekee yako ndio unaongea point!!
Hii imekaaje kitaaluma?