Wachambuzi wa habari na wanahabari wanaokwenda Dubai wanafadhiliwa na nani?

Wachambuzi wa habari na wanahabari wanaokwenda Dubai wanafadhiliwa na nani?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Ilianza muda mwaka Jana wanahabari kadhaa walienda Dubai kuchunguza ufanisi wa bandari,tukawaona wabunge nao wakienda Dubai,na Leo wanahabari kadhaa wa vipindi vya asubuhi wataanza kutangaza matangazo ya asubuhi Moja kwa Moja toka Dubai,nani anafadhili suala hili!?
 
Mbunge Kasheku labda, maana alisema anaouwezo! Na alishauri waende huko!
 
Kwenda Dubai kwani siku hizi kunahitaji ufadhili?

NB: Nchi yetu haiuzwi! Ogopa matapeli!
 
Back
Top Bottom