MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Mimi ni Shabiki wa Simba SC ila kwa Upuuzi wenu huu wa Kuchambua Kiuwoga au Kimahaba au kwa Bahasha Kunawaharibia na wenye Akili, tusio Wanafiki na wapenda Haki sasa tutaanza Kuwadharau na hata Kutosikiliza hivyo Vipindi vyenu vya Michezo vya Redio.
Halafu nyie Wachambuzi wa Michezo katika Redio mbalimbali za Tanzania tambueni wengine mnaotudanganya siyo tu tunaujua huo Mpira bali pia tumeshaucheza mno na wengine huenda isingekuwa ni Mikwara ya Wazazi Wetu Wanoko kututaka tujikite katika Elimu leo tungekuwa hata PSG tunaupiga mwingi huko.
Hivi nyie Wachambuzi wa Michezo katika Redio mbalimbali nchini mmepata wapi Uhalali wa kusema kuwa lile Goli alilofunga Fiston Mayele ni Offside ( Kaotea ) wakati amefunga Kihalali kwa Uzembe wa Goalkeeping Principles ambapo Kipa Mwenyewe ndiyo alishindwa Kuudaka ipasavyo Mpira na ukamponyoka na Mayele Kufunga?
Haya Wachambuzi mlioanza Kukosea kwa Usiku huu ni wa Clouds FM akina Nicas Kotinyo ( mwana Simba SC Mwenzangu ), Privaldinho na Edgar Kibwana ( wana Yanga SC ) hivyo nawaomba Wachambuzi wengine wa Vipindi vya Michezo vya Kesho Asubuhi, Mchana na Jioni vya Kesho nanyi msirudie Upuuzi huu na semeni Ukweli bila Unafiki, Uwoga na Kupepesa kama Mimi Mightier kuwa Goli like kwa 100% lilikuwa ni halali ila sema tu Mwamuzi ( Referee ) aliamua Kuwanyima / Kuwakatalia Yanga SC.
Tuwe Wanamichezo na siyo Mashabiki!!
Halafu nyie Wachambuzi wa Michezo katika Redio mbalimbali za Tanzania tambueni wengine mnaotudanganya siyo tu tunaujua huo Mpira bali pia tumeshaucheza mno na wengine huenda isingekuwa ni Mikwara ya Wazazi Wetu Wanoko kututaka tujikite katika Elimu leo tungekuwa hata PSG tunaupiga mwingi huko.
Hivi nyie Wachambuzi wa Michezo katika Redio mbalimbali nchini mmepata wapi Uhalali wa kusema kuwa lile Goli alilofunga Fiston Mayele ni Offside ( Kaotea ) wakati amefunga Kihalali kwa Uzembe wa Goalkeeping Principles ambapo Kipa Mwenyewe ndiyo alishindwa Kuudaka ipasavyo Mpira na ukamponyoka na Mayele Kufunga?
Haya Wachambuzi mlioanza Kukosea kwa Usiku huu ni wa Clouds FM akina Nicas Kotinyo ( mwana Simba SC Mwenzangu ), Privaldinho na Edgar Kibwana ( wana Yanga SC ) hivyo nawaomba Wachambuzi wengine wa Vipindi vya Michezo vya Kesho Asubuhi, Mchana na Jioni vya Kesho nanyi msirudie Upuuzi huu na semeni Ukweli bila Unafiki, Uwoga na Kupepesa kama Mimi Mightier kuwa Goli like kwa 100% lilikuwa ni halali ila sema tu Mwamuzi ( Referee ) aliamua Kuwanyima / Kuwakatalia Yanga SC.
Tuwe Wanamichezo na siyo Mashabiki!!