Wachambuzi wa Mpira katika Redio za Tanzania tutaanza Kuwadharau sasa, Goli la Yanga SC lilikuwa halali kwa Uzembe wa Kipa

Rudia tena kuangalia uone nani alikuwa offside position

Ni moloko ww

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Usijali mkuu. Ndio maana ya platforms kama JF, tunajuzana hili na lile. Uwe na wakati mwema.
 
Rudia tena kuangalia uone nani alikuwa offside position

Ni moloko ww

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Achana na watu wote ambao hawajahusika na mchezo, (those who were not involved in a play).
Watazame watu waliohusika moja kwa moja na mchezo kwa kuugusa mpira.

Saido, Aucho, Ssettuba, Bangala na hatimaye Mayele. Hao watano tu.

Unayemtaja wewe hajahusika na mchezo (wasn't part of build up of that goal).

Wakati Bangala anapiga pasi ya mwisho kwenda kwa Mayele, Mayele tayari alikua kwenye eneo la kuotea.
Kwanini alikua ameotea, ni kwa sababu mbele yake kulikua na mchezaji mmoja pekee wa biashara (beki aliyepo golini), ili isiwe offside ni lazima mbele kuwe na wachezaji angalau wawili.

Mkuu, hili bado tu halieleweki ?
Jesus Moloko anatokea wapi hapa ?
 

Yanga jana ilishinda kwa kutumia ubabe tu. Ila waamuzi wa Bongo sijui wapewe semina ya aina gani! Maana wana mapungufu mengi sana ya kiuchezeshaji.
 
Wewe naye ni mchambuzi ?!. Hovyo kabisa

Tanganyika uswahili wa kipuuzi
 
Wewe naye ni mchambuzi ?!. Hovyo kabisa

Tanganyika uswahili wa kipuuzi
Kwanini mimi ni hovyo kabisa mkuu ?

Mimi kuwa mchambuzi ama la sio jambo muhimu kwa sasa.

Kama nakosea katika mawasilisho yangu naomba kukosolewa na kuelezwa sahihi ni ipi, na huu ndio msingi wa kuwapo kwa JF.

Karibu kwa mjadala.
 
Ile ni clear offside. Mchezaji wa mwisho sio lazima awe golikipa.

Hii sheria nishawahi kumsikia Amri Kiemba akiielezea vizuri sana clouds, na leo incidence hiyo imetokea.

Hongera kwa mwamuzi kwa kuichanganua vyema hiyo sheria ya offside.
 
Asee! Kumbe ndio maana hii nchi imejaa watu wajinga wengi.

Umesoma sheria ya offside kweli au ni uswahili tu kujifanya mnajua na kumbe ukiazi tu
 
Asee! Kumbe ndio maana hii nchi imejaa watu wajinga wengi.

Umesoma sheria ya offside kweli au ni uswahili tu kujifanya mnajua na kumbe ukiazi tu
Sawa mkuu nashukuru mimi ni mjinga na ndio maana niliyem quote alinipa ufafanuzi kisha nikaenda kujiridhisha na kukiri kuwa sikuwa nalifahamu hilo hapo kabla. hakuna anayejua kila kitu, wewe kama una uelewa wa kila kitu basi utakuwa miongoni mwa waliopo kwenye kundi la malaika sio binadamu. Endelea na kashfa nyingine zaidi ya hilo la kuniita mjinga kwasababu nilishakiri ni mjinga, heri yako wewe ambaye sio mjinga kisa tu unajua sheria ya offside.
 
N off side nawew Hawa wachambuz na waamuz wana mapungufu yao ila ukiangalia apo n offside clear kabisa ilianzia Kwa aliyetoa pasi kwa mayele
 
We kwel sheria huzijua kbsa...embu kazipitie then uje...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…