- Thread starter
- #21
Sawa Mzee wa Laliga de Utopolo.Inafananishwa na Barcelona na real Madrid tu hata mamelod hawagusi. Wana bonge la uwanja bunju linaitwa mo arena linaingiza watu 100k.
Naskia jana mmeanza Ligi huko Shinyanga baaada ya kupata ushindi mkubwa tangu JPM aingie madarakani 2015.