rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hivi lusajo alitoka timu gani, mhilu.naye alitoka timu gani, luhende, dilunga wote waliachwa yanga lakini sasa wanaonekana boraMikia mnachekesha sana.
Yaani hapa mnafarijiana wenzenu kule wanaweka tu habari..mtawafanyeje?
Kwanini kila siku msemwe nyie tu?
Mpira wa kuhonga huko tff na marefa tumeshauchoka