Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Baadhi ya nukta walizotoa wachambuzi hao ni kuwa wakati Israel inadai imewaua Hamas wengi sana lakini viongozi wakuu wa kundi hilo ama wako nje au wako chini ya mahandaki na hawajawapata.
Pia Israel imeshatangaza mara kadhaa kuwa imeyadhibiti maeneo ya kaskazini na kati ya Gaza,lakini bado kila siku mapigano yanaendelea,makombora yanarushwa Israel na askari wa IDF wanauliwa.
Ikija upande wa mateka ndio kabisa wakati vita vinaingia mwezi wa sita mateka waliopatika hawafiki hata 5 na waliobaki Israel imeshindwa kabisa kujua walipo.
Hamas kabla ya oktoba 7 na vita kuanza ilikuwa iko zaidi upande wa Gaza,miezi 6 baadae wapalestina wa Jerusalem na ukingo wa magharibi ndio wameikubali zaidi Hamas kama mkombozi wa Palestina.
Kufikia miezi sita ya vita Israel na uongozi wa juu umefanya matendo ambayo yamefanya wachukiwe zaidi na washirika na wafadhili wao.
Zaidi ya yote wachambuzi hao wamesema Israel haina njia ya kutokea kwenye mzozo huo wa kivita.
Pia Israel imeshatangaza mara kadhaa kuwa imeyadhibiti maeneo ya kaskazini na kati ya Gaza,lakini bado kila siku mapigano yanaendelea,makombora yanarushwa Israel na askari wa IDF wanauliwa.
Ikija upande wa mateka ndio kabisa wakati vita vinaingia mwezi wa sita mateka waliopatika hawafiki hata 5 na waliobaki Israel imeshindwa kabisa kujua walipo.
Hamas kabla ya oktoba 7 na vita kuanza ilikuwa iko zaidi upande wa Gaza,miezi 6 baadae wapalestina wa Jerusalem na ukingo wa magharibi ndio wameikubali zaidi Hamas kama mkombozi wa Palestina.
Kufikia miezi sita ya vita Israel na uongozi wa juu umefanya matendo ambayo yamefanya wachukiwe zaidi na washirika na wafadhili wao.
Zaidi ya yote wachambuzi hao wamesema Israel haina njia ya kutokea kwenye mzozo huo wa kivita.