Wachawi wa Lissu na Mbowe ujumbe utakuwa Umewafikia

Kuna dada alishuka na uzi wake hapa JF akiwa tayari kuyaoga "matusi". Sijui kapotelea wapi tena!

Walipo sikia press conference nao wakaona wajumbe kuweka yao:



 
Muwe serious basi unadhani kuna mtu makini afuatilie habari za ccm ilihali kuna habari ya chadema? Hata zitto toka atoke chadema hajawahi kua na mvuto tena maana chadema ni kama imani ndio maana magufuli alijidanganya kuiua akashindwa
 
Amani nikichaka Cha ccm kudhibitia upinzani kwamba wanavuruga amani akati amani yenyewe hakuna hakuna kwani amani inaviwango vyake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…