Wachawi walivyozichapa gulion kichawi chawi ilikuwa ni soo mazee

Hahahaaa basi kumbe hujaacha ila ni mtu tu kakushikia kama ukikosewa tu unafuata
Hapana nimeacha lakin huwa nafata kama mtu akinizulumu au kama mtu akinionea na huwa nafata kulinda biashara zangu na wachawi
 
Alafu umekariri: kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, hahaaa wewe kweli simiyu moja.
 

umevumilia angalau wiki moja bila ya stori zako za majini au wewe ni mganga?
 
Alafu umekariri: kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, hahaaa wewe kweli simiyu moja.
Sijskalili mkuu sema ndo huwa naanza kwa stail kama hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…