figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
TIN namber white na Lingo ni wakongwe. Tangu 2006 wananiburudisha..lingo
Nachofurahia ni marafiki na hawajawahi kugombana wala kutofautiana hadharani kama kundi la Masanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TIN namber white na Lingo ni wakongwe. Tangu 2006 wananiburudisha..lingo
Dulvan mtoe hajui chochote anatumia nguvu nying sana kuchekesha1) idris sultan
2)jay mond
3) mr Beneficial
4)mkali wenu
5)Tin white
6)dullavan
7)Bwana mjeshi
Hao ndio top comedian tz hao wako umewatoa wapi?
Mi mizengwe ndio nawakubali basi..jamaa wana act natural sana ila unacheka balaa
Mkuu,hapo comedian ni huyo niliyemtofautisha na wenzake tu wengine wote wanaunganisha video wakifanya vitimbi tu.
Pengine kila mtu ana aina yake ya kuchekeshwa,wengine wanachekeshwa na mtu kutumbua macho sana au kujipaka majivu usoni au mkaa.
Ila katika list yako hiyo ukimtoa Tin, waliobaki hakuna wachekeshaji hapo, kuna wafanya vituko.
1) idris sultan
2)jay mond
3) mr Beneficial
4)mkali wenu
5)Tin white
6)dullavan
7)Bwana mjeshi
Hao ndio top comedian tz hao wako umewatoa wapi?
Mi mizengwe ndio nawakubali basi..jamaa wana act natural sana ila unacheka balaa
Wabunifu sana wale jamaa..miaka nenda rudi hawachuji, wanachukuliwa poa sana
Wale sijui kama kuna mtu hawakubali, hasa yule Sumaku huwa akiongea lazima ucheke. Labda wanachukuliwa poa kwasababu kipindi chao ni muda mfupi sana,ukinywa maji hayaishi kipindi kimeshamalizika. Lakini pia pengine umaarufu wao unapungua kwasababu watoto wa kipindi hiki hawatazami saana TV ndio maana hata hapa unaona huyu bwana niliyemnukuu anakutajia wachekeshaji wa Instagram wanaounganisha video na kufanya vituko kuwa ndio wachekeshaji bora. | |
Huyu jamaa ni fundi haswaUsipocheka umeamua kutocheka. Anaitwa Braza Kei
View attachment 1182533
Hivi wale futuhi hua hawawezi kufanya comedy bila kupigana pigana?Usipocheka umeamua kutocheka. Anaitwa Braza Kei
View attachment 1182533
Hamna mchekeshaji hapo, sorry
Just so you know, hata hio Churchill ni ujinga. The difference is the same... Sema uwasilishaji wa content [Ujinga sasa] ndio unazidiana mtu na mtu ila kitu ni kilele.
Anyways who am i to tell people what they should or shouldn't watch. Whatever floats your boat comrade!
That is according to you. It's not a worldwide point of view, you are right too.Ujinga wa churchill unachekesha sana lkn ujinga wa kina Idrissa sijui mcpilipili ni ujinga wa 1st class(wanajichekeshaga wenyewe).
Hakuna mchekeshaji hapo hata mmoja1) idris sultan
2)jay mond
3) mr Beneficial
4)mkali wenu
5)Tin white
6)dullavan
7)Bwana mjeshi
Hao ndio top comedian tz hao wako umewatoa wapi?
Yule shogaMi wote mliowataja nawaona kama wachomoa Betri tu hivi mwamjuwa JOTI nyie