DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
ndio wakaze sasa ili wawepo ktk hao watatu....sio kulia lia nyumbani wanaokaa majumbani ni wanawake na hta hao wanawake siku hizi ni nadra sana kukaa nyumbani .....wanaume kazikazi ukae nyumbani uoleweUnadhani watanzania wangapi watapata namba Nigeria, Ghana, Senegal, cameroon, Rwanda, Uganda, NK? Unachoongea hukijui. Rwanda imeruhusu wageni 3 Tu kwenye klabu