Wachezaji 10 wa kigeni uwanjani sio sawa

Wachezaji 10 wa kigeni uwanjani sio sawa

Ufaransa imembeba kombe kwa mgongo wa Afrika...kwa nini na sisi tusibebe makombe ya vilabu Afrika na Dunia kwa mgongo wa wachezaji wa kigeni ? Ni wageni wameboresha timu ya taifa Uingereza.
 
Ufaransa imembeba kombe kwa mgongo wa Afrika...kwa nini na sisi tusibebe makombe ya vilabu Afrika na Dunia kwa mgongo wa wachezaji wa kigeni ? Ni wageni wameboresha timu ya taifa Uingereza.
hiyo ya ufaransa haifanani na hii, ile ni timu ya taifa ambayo wageni wenye vipaji wanapata uraia kirahisi, na huku itakuwa hivyo?
 
Mpira wa miguu ni ajira mbali ya kuleta furaha na sifa kwa vilabu, mashabiki na taifa. Ligi kuu ina timu 16 na kama timu itaweza kusajili wachezi 10 wa kigeni maana yake wageni 160 watashiriki ligi kuu nchini. Kama kocha akiamua kuwapanga wachezaji wote 10 uwanjani, maana yake mzawa mmoja tu ndiye atakaepata nafasi ya kucheza kwenye mechi hiyo. Tunaelekea wapi? au ni njia ya kuzibeba timu kubwa zenye wafadhili wenye hela?
wallace karia. raisi wa tff. ni kiongozi wa hovyo sana huyu mtu. kwanza co full time pale tff anashinda oficn kwake tamisemi!
 
Mpira wa miguu ni ajira mbali ya kuleta furaha na sifa kwa vilabu, mashabiki na taifa. Ligi kuu ina timu 16 na kama timu itaweza kusajili wachezi 10 wa kigeni maana yake wageni 160 watashiriki ligi kuu nchini. Kama kocha akiamua kuwapanga wachezaji wote 10 uwanjani, maana yake mzawa mmoja tu ndiye atakaepata nafasi ya kucheza kwenye mechi hiyo. Tunaelekea wapi? au ni njia ya kuzibeba timu kubwa zenye wafadhili wenye hela?
Rais wa TFF Simba damu kaamua kuibeba waziwazi kwa vitendo na kadhamiria kuua soka la TZ kwa kuleta mapro
 
Back
Top Bottom