Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,575
- 25,619
Kwa mujibu wa mtatndao wa sokkaa.com,
wachezaji wawili bora duniani Cristiano Ronaldo
na Lionel Messi wamewaacha wengine mbali
katika kuvuta mkwanja mrefu kwa upande wa
wacheza soka.
Ronaldo, ambaye hivi karibuni ameisaidia Ureno
kushinda kombe la mataifa ya Ulaya 2016,
anaongoza chat hiyo akiwa na mshahara wa
£288,000 kwa wiki baada ya makato ya kodi
(sawa na kitita cha £15 million kwa mwaka)
waka Messi akiwa nafasi ya pili kwa kulipwa
vizuri anachukua kitita cha £275,000 (sawa na
£14.5 million kwa mwaka).
Baada ya kukamilika kwa dili lililovinja rekodi ya
uhamisho duniani la ada ya paundi milioni 89
(sawa na dola za Marekani milioni 115.98), Paul
Pogba ambaye amesaini miaka mitano kuitumikia
Manchester United mkataba wake unamfanya
alipwe £290,000 kwa wiki.
10. David Silva (Manchester City)
Mshahara wa kila wiki: £200,000
Mshara kwa mwaka: £10.9 million
9. Neymar (Barcelona)
Mshahara wa kila wiki: £220,000
Mshahara wa mwaka:£11.4 million
8. Asamoah Gyan (Shanghai SIPG)
Mshahara wa kila wiki: £227,000
Mshahara wa mwaka: £11.8 million
7. Sergio Aguero (Manchester City)
Mshahara wa kila wiki: £240,000
Mshahara wa mwaka: £11.9 million
6. Yaya Toure (Manchester City)
Mshahara wa wiki: £240,000
Mshahara wake kwa mwaka ni: £11.9 million
5. Zlatan Ibrahimovic (Manchester United)
Mshahara wa wiki: £250,000
Kwa mwaka anaingiza: £11.4 million
4. Wayne Rooney (Manchester United)
Mshahara wa wiki: £260,000
Kwa mwaka anavuna mshahara: £13 million
3. Paul Pogba (Manchester United)
Mshahara wa wiki: £290,000 (kabla ya makato
ya kodi)
Mshahara kwa mwaka:£13.9 million
2. Lionel Messi (FC Barcelona)
Mshahara kwa wiki: £275,000 baada ya makato
ya kodi
Mshahara kwa mwaka: £14.5 million baada ya
makato ya kodi
1. Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Mshahara kwa wiki: £288,000 baada ya makato
ya kodi
Mshahara kwa mwaka: £15 baada ya makato ya
kodi
wachezaji wawili bora duniani Cristiano Ronaldo
na Lionel Messi wamewaacha wengine mbali
katika kuvuta mkwanja mrefu kwa upande wa
wacheza soka.
Ronaldo, ambaye hivi karibuni ameisaidia Ureno
kushinda kombe la mataifa ya Ulaya 2016,
anaongoza chat hiyo akiwa na mshahara wa
£288,000 kwa wiki baada ya makato ya kodi
(sawa na kitita cha £15 million kwa mwaka)
waka Messi akiwa nafasi ya pili kwa kulipwa
vizuri anachukua kitita cha £275,000 (sawa na
£14.5 million kwa mwaka).
Baada ya kukamilika kwa dili lililovinja rekodi ya
uhamisho duniani la ada ya paundi milioni 89
(sawa na dola za Marekani milioni 115.98), Paul
Pogba ambaye amesaini miaka mitano kuitumikia
Manchester United mkataba wake unamfanya
alipwe £290,000 kwa wiki.
10. David Silva
Mshahara wa kila wiki: £200,000
Mshara kwa mwaka: £10.9 million
9. Neymar
Mshahara wa kila wiki: £220,000
Mshahara wa mwaka:£11.4 million
8. Asamoah Gyan
Mshahara wa kila wiki: £227,000
Mshahara wa mwaka: £11.8 million
7. Sergio Aguero
Mshahara wa kila wiki: £240,000
Mshahara wa mwaka: £11.9 million
6. Yaya Toure
Mshahara wa wiki: £240,000
Mshahara wake kwa mwaka ni: £11.9 million
5. Zlatan Ibrahimovic
Mshahara wa wiki: £250,000
Kwa mwaka anaingiza: £11.4 million
4. Wayne Rooney
Mshahara wa wiki: £260,000
Kwa mwaka anavuna mshahara: £13 million
3. Paul Pogba
Mshahara wa wiki: £290,000 (kabla ya makato
ya kodi)
Mshahara kwa mwaka:£13.9 million
2. Lionel Messi
Mshahara kwa wiki: £275,000 baada ya makato
ya kodi
Mshahara kwa mwaka: £14.5 million baada ya
makato ya kodi
1. Cristiano Ronaldo
Mshahara kwa wiki: £288,000 baada ya makato
ya kodi
Mshahara kwa mwaka: £15 baada ya makato ya
kodi