Wachezaji 10 wanaolipwa mshahara mrefu kwa sasa duniani.

Wachezaji 10 wanaolipwa mshahara mrefu kwa sasa duniani.

Watu wana hoja dhaifu... uero imemalizika juzi tu ila wameshasahau..... game ya 3-3 kwenye makundi mmesahau alichofanya, zile two classic goals and one assist. Ureno wangepoteza hii mechi unategemea wangequalify kama best looser??? What about game na crotia?? What about game vs wales?? Na ile iliyoenda kwenye penalties?? Ndio nyinyi ambao mnafikir mwanafunzi aliepata division 4 ni kilaza... mnasahau kwamba environment ni sehemu ya quality education. Stop hizi personal attacks...
Nafananisha kwenye world cup ya 2014 ina maana gotze ndie aliyeibeba team zaidi ya muller???
 
Watu wana hoja dhaifu... uero imemalizika juzi tu ila wameshasahau..... game ya 3-3 kwenye makundi mmesahau alichofanya, zile two classic goals and one assist. Ureno wangepoteza hii mechi unategemea wangequalify kama best looser??? What about game na crotia?? What about game vs wales?? Na ile iliyoenda kwenye penalties?? Ndio nyinyi ambao mnafikir mwanafunzi aliepata division 4 ni ******... mnasahau kwamba environment ni sehemu ya quality education. Stop hizi personal attacks...
Nafananisha kwenye world cup ya 2014 ina maana gotze ndie aliyeibeba team zaidi ya muller???
Aisee umewapa jibu zuri sana hawa washabiki mandazi.
 
Vipi mbona mess ana ma-tattoo hadi m.k.nd.n lakini hamsemi?

Matatoo hayamfanyi yeye kuwa gay, so yupo kikazi.

9+Lionel+Messi.png

Soma hapo utaelewa
 
Watu wana hoja dhaifu... uero imemalizika juzi tu ila wameshasahau..... game ya 3-3 kwenye makundi mmesahau alichofanya, zile two classic goals and one assist. Ureno wangepoteza hii mechi unategemea wangequalify kama best looser??? What about game na crotia?? What about game vs wales?? Na ile iliyoenda kwenye penalties?? Ndio nyinyi ambao mnafikir mwanafunzi aliepata division 4 ni ******... mnasahau kwamba environment ni sehemu ya quality education. Stop hizi personal attacks...
Nafananisha kwenye world cup ya 2014 ina maana gotze ndie aliyeibeba team zaidi ya muller???

Mkuu Germany haimtegemei mtu mmoja,inacheza kitimu..ni kama vile Argentina. Argentina the best team always, ina mastaa kibao wanacheza kitimu, na pia akiwemo mfalme kikosini ndie anaufanya mchezo kuwa mwepesi zaidi ila hawakuwa na bahati tu.

Ureno wachezaji walio-onekana angalau kwa mbali ni yule raia wa ethiopia na Quaresma baaaaas,japo imepita na kubeba ndoo kibahati bahati mno lkn hawana mpira kivile.na Huyo jamaa yenu alikuwa analukaluka tu uwanjani na kujiangusha like gaucho vile no different.
 
Kwenye B umechemka, aliyeisaidia team ni elder, sasa huyo mcheza dance kaisaidia vipi wakati alitoka dk ya 18? Mbona mnajitoa fahamu hali ya kuwa mnajua kabisa rinodo hajafanya chochote kwenye euro..

Hii list umeiokota kwa shaffii dauda ukaipaste huku hali yakuwa haiko sawa, irekebishe kwanza alaf ndio uiposst..tatizo huwa mnakurupuka bils kukagua kilichotumwa.

Shaffii dauda ni team ronaldo, isahihishe ndio uitume tena
3goals+3assist bado hujaona kaisaidia? Unatumia makalio kuwaza
 
Mkuu Germany haimtegemei mtu mmoja,inacheza kitimu..ni kama vile Argentina. Argentina the best team always, ina mastaa kibao wanacheza kitimu, na pia akiwemo mfalme kikosini ndie anaufanya mchezo kuwa mwepesi zaidi ila hawakuwa na bahati tu.

Ureno wachezaji walio-onekana angalau kwa mbali ni yule raia wa ethiopia na Quaresma baaaaas,japo imepita na kubeba ndoo kibahati bahati mno lkn hawana mpira kivile.na Huyo jamaa yenu alikuwa analukaluka tu uwanjani na kujiangusha like gaucho vile no different.
We ni tako yaan assist 3 na goal 3 katka mechi muhimu za kufuzu hukuona ni kitu? Nenda ulale ukue
 
We ni tako yaan assist 3 na goal 3 katka mechi muhimu za kufuzu hukuona ni kitu? Nenda ulale ukue
Tayari nimewauliza kuwa wanitajie mtu pale kwenye timu ya ureno aliyetupia magoli mengi na mwenye asist nyingi kama C.ronaldo ktk michuano ya Europe 2016. Lakini wanalikwepa hili swali
 
Thibitisha.. au wewe ndo uliyempakata?

Au wewe ndo unahitaji cr7 akupakate?

Mbona wenzako (madrid fans)wanajua evry thng about misifa, nakushangaa wewe to wajitoa ufahamu! Au unaishi na akina swala kule porini mzee,hujui dunia inaendaje!
 
Mbona wenzako (madrid fans)wanajua evry thng about misifa, nakushangaa wewe to wajitoa ufahamu! Au unaishi na akina swala kule porini mzee,hujui dunia inaendaje!
Tufanye sijui sasa. Sasa nataka uniletee huo uthibisho hapa na waa siyo blah blah tu.

Maana unaonekana wewe ni mfwatiliaji wa magazeti ya udaku tu.
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Tufanye sijui sasa. Sasa nataka uniletee huo uthibisho hapa na waa siyo blah blah tu.

Maana unaonekana wewe ni mfwatiliaji wa magazeti ya udaku tu.
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]

Mimi ndio nikupatie uthibitisho wakati we ni fan wake we vipi? Utaachaje kumjua jamaa yako wa karibu au ndio njia ya kuficha ukweli?Ingia google utapata evry thing utakacho,
 
Back
Top Bottom