Wachezaji 20 Simba SC waondoka nchini kuelekea Alexandria Misri kuifuata Al- Ahly

Wakifungwa siku waki rudi bongo tunawapiga mawe sasa
 
Kama ni hivyo punguza ukali wa vitisho, mpira ni mchezo wa makosa, wale Nkana hawakupenda kutoka katika michuano hiyo mkuu lakini imewabidi kutokana na makosa yao

Wape nguvu, Hima, na Ushauri..SimbaNguvuMoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisawa ila kama ni kuwapa moyo tumewapa ili nguvu ya mashabik ibaki kiukweli hii game ya Jumamosi wakaze sana maana ukiangailia kunamashabiki baadhi washaanza kukata tamaa kabsa
 
Timu imeondoka kimya kimya, sio kama raundi zilizopita. Afadhali Manara kapigwa breki. Huwaweka wachezaji under pressure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…