Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Marehemu hasemwi!
Sahau Kambi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahau Kambi.
Malapa ndiyo kwaoNdugu yng huyo!
Yupo BUGURUNI! Madai yk siku hz kocha
Malapa ndiyo kwao
Bado anacheza yupo Mtibwa.Hendry Joseph Shindika
One season wonder, kama Said Sued 'SCUD'.Nini kilimkuta Said Bahanuzi yupo wapi huyu jamaa
Steven Mazanda - Mbeya City
Christopher Alex MassawePale Mtibwa Sugar, kuna nahodha kiongozi Shaban Nditi. Amecheza soka la kiwango cha juu kwa muda mrefu bila kuchuja. Amedumu sana kwenye soka la ushindani hapa Bongo.
Ukifika kwenye kikosi cha Kagera Sugar wanankurukumbi, utakutana na George Kavila Master. Ni karibia miaka 20 sasa anacheza ligi kuu ya Tanzania. Ni moja kati ya wachezaji wakongwe na wenye nidhamu ya hali ya juu ndani na nje ya uwanja.
Lakini habari ni tofauti kwa baadhi ya wachezaji wengine. Kuna wachezaji wa kibongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kabisa katika ramani ya soka.
Leo, tujikumbushe list ya wachezaji hao.
Mimi naanza na hawa wafuatao...
Rashid Gumbo
Said Bahanuzi
Jerry Tegete
Endelea na wewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika waliocheza Soka la muda mrefu umemsahau Kiungo wa Mtibwa Henry Joseph Shindika, na mwenzie Monja Liseki ingawa huyu nadhani hayuko sasa.Pale Mtibwa Sugar, kuna nahodha kiongozi Shaban Nditi. Amecheza soka la kiwango cha juu kwa muda mrefu bila kuchuja. Amedumu sana kwenye soka la ushindani hapa Bongo.
Ukifika kwenye kikosi cha Kagera Sugar wanankurukumbi, utakutana na George Kavila Master. Ni karibia miaka 20 sasa anacheza ligi kuu ya Tanzania. Ni moja kati ya wachezaji wakongwe na wenye nidhamu ya hali ya juu ndani na nje ya uwanja.
Lakini habari ni tofauti kwa baadhi ya wachezaji wengine. Kuna wachezaji wa kibongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kabisa katika ramani ya soka.
Leo, tujikumbushe list ya wachezaji hao.
Mimi naanza na hawa wafuatao...
Rashid Gumbo
Said Bahanuzi
Jerry Tegete
Endelea na wewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Akaenda zake St. Marys Tabata kusomea Diploma ya ualimu.Damian Mrisho Kimti
Najua Watoto nimewaacha Kwenye flyover ya Tazara
Alikwenda kucheza soka nje ya nchi. Kuna layer fulani ya wachezaji wa Yanga waliindoka kimya kimya, nakumbuka katika kundi hili alikwepo pia somebody Credo Mwaipopo.Huyo ni Harry Morris, kaka yake alikua anaitwa Oswald Morris. Oswald alichezea tz prisons kwa mafanikio mpaka akapewa cheo cha captain na jeshi la magereza, japo Simba na Yanga walimtaka sana lakini aliwagomea. Harry yeye alipohama basi na nyota yake ikafa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale Mtibwa Sugar, kuna nahodha kiongozi Shaban Nditi. Amecheza soka la kiwango cha juu kwa muda mrefu bila kuchuja. Amedumu sana kwenye soka la ushindani hapa Bongo.
Ukifika kwenye kikosi cha Kagera Sugar wanankurukumbi, utakutana na George Kavila Master. Ni karibia miaka 20 sasa anacheza ligi kuu ya Tanzania. Ni moja kati ya wachezaji wakongwe na wenye nidhamu ya hali ya juu ndani na nje ya uwanja.
Lakini habari ni tofauti kwa baadhi ya wachezaji wengine. Kuna wachezaji wa kibongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kabisa katika ramani ya soka.
Leo, tujikumbushe list ya wachezaji hao.
Mimi naanza na hawa wafuatao...
Rashid Gumbo
Said Bahanuzi
Jerry Tegete
Endelea na wewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujamtendea haki Steven Mazanda,kumbukumbu zangu zinaonyesha Steven mazanda aliichezea Moro united kwa misimu mitano mfululizo mpaka iliposhuka daraja mwaka 2010 kama sijakosea.Steven Mazanda - Mbeya City
Unanikumbusha viumbe kama Boniphace Pawasa, Emmanuel Gabriel, Suleiman Matola, kocha James Siang'a, daa walikuwa ni moto wa kuotea mbali aise
Sent using Jamii Forums mobile app