Wachezaji Bongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kwenye soka

Wachezaji Bongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kwenye soka

Pale Mtibwa Sugar, kuna nahodha kiongozi Shaban Nditi. Amecheza soka la kiwango cha juu kwa muda mrefu bila kuchuja. Amedumu sana kwenye soka la ushindani hapa Bongo.

Ukifika kwenye kikosi cha Kagera Sugar wanankurukumbi, utakutana na George Kavila Master. Ni karibia miaka 20 sasa anacheza ligi kuu ya Tanzania. Ni moja kati ya wachezaji wakongwe na wenye nidhamu ya hali ya juu ndani na nje ya uwanja.

Lakini habari ni tofauti kwa baadhi ya wachezaji wengine. Kuna wachezaji wa kibongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kabisa katika ramani ya soka.

Leo, tujikumbushe list ya wachezaji hao.

Mimi naanza na hawa wafuatao...
Rashid Gumbo

Said Bahanuzi

Jerry Tegete

Endelea na wewe...



Sent using Jamii Forums mobile app
Wilfred Kidao
Bebeto
Mwaikimba
Jimmy Mored
Gamshud Gamdust
 
Betram Mombeki wa Simba kutoka Marekani

1693892253556.png
 
Back
Top Bottom