Wachezaji bora wavaao legeza/kata K

Klose (Germany) hua anafanya maksudi kunadi kampuni za Boxer kama alivokua anafanya David Bekham (England)


Huyu jamaa mwafrika sijampata jina ila kwa staili hii [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Huyu Neymar (Brazil) na wenzake kama Ronaldo (Portugal) Rodrigez (Columbia) Nani (Portugal) na wengine wengine huvaa milegezo kabla ya shughuli kuanza. Mziki unapopulizwa kipenga unawaona kabisa wanarudisha bukta sehem husika
 
Safi sana!!

Kumbe milegezo wakati mwingine inaingiza mikwanja(Fedha).....

Huyo wa ghana atakuwa sio K.Asmaoh kweli..?
 
Uzi nimeupendea,
1.Kelvin Patrick Yondan "cotton"

2. Said Samir Ruhava "kitasa"

3.Kelvin Prince Boateng "Bishoo"

4.Mimi
 
Jiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…