Wachezaji gani walistahili kutwaa Ballon D'or?

kwanza naomba utengue kauli sijamfananisha Messi na mchezaji yeyote, pili hiko wanachosema wachambuzi ni mawazo yao siwezi kuwapinga wanafacts zao kusema hivyo na mimi pia nna facts zangu na mawazo yangu, tatu, hakuna mwaka Messi aliumia akakaa nje kwa muda mrefu zaidi ya miezi mitatu kama upo huo mwaka nitajie.

hii ni miaka ambayo Messi alidrop nnaposema kudrop si kwamba hakuwa bora ila hakuwa bora kupita hao niliyowataja.
2010.....Sneijder alikuwa bora zaidi
2013.....Ribery alikuwa bora zaidi
2014.....Neuer alikuwa bora zaidi
2015.....Neymar alikuwa bora zaidi
2016.....Ronaldo alikuwa bora zaidi
2017... .Ronaldo alikuwa bora zaidi
2018.....Ronaldo alikuwa bora zaidi
 
Kwahiyo hata afrika ni figisu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…