Wachezaji hawa wa Simba SC wapunguze 'Ego' kwani inawaharibia Binafsi na Kuigharimu pia na Simba SC yetu

Wachezaji hawa wa Simba SC wapunguze 'Ego' kwani inawaharibia Binafsi na Kuigharimu pia na Simba SC yetu

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Aishi Salum Manula

Kujiona anajua, Sifa Kumuharibu na kuamini hana Upinzani ndani ya Kikosi kunaanza Kumgharimu mpaka Kufungwa Magoli ya Kitoto, Kipuuzi na ya Kukosa tu Umakini wake.

Ajitathmini na ajirekebishe upesi.

Erasto Edward Nyoni
Kujiona Mkongwe, Kusifiwa mno na Kuvimba Kichwa ukichanganya kuwa ndiye Mshauri na Kiongozi wa Wachezaji ( japo siyo Kapteni ) katika Kikosi kunaanza Kumuharibu na anatuharibia hata Simba SC yetu.

KEROZENE nimeacha Kucheza Mpira wa Kimashindano kwa miaka 25 iliyopita ila ukinipa leo hii ile Penati aliyokosa jana huyu Erasto Nyoni nafunga.

Kapiga Penati ile Kidharau na Kifaza sana halafu alivyo Bwege amekosa hata haonyeshi Kujutia na anaona ni kawaida wakati ametukosesha Karamu zaidi ya Magoli ambayo yatatusaidia mbele ya Safari katika NBC Premier League yetu hii.
 
popoma huachi kujisifia tunajua unachunga ng'ombe huko bunda
Mpira umecheza lini
 
Huu Uzi ni wa KEROZENE au huyo Basha wenu mnayempenda mpaka kutamani awajazeni Mimba mumzalie Watoto wengi?
Mbna umejaa upepo we POPOMA. ukibadili ID kumbuka na kubadili mwandiko pia.
 
Comments 😂😂😂😂😂😂
 
Tangia ulipotaka 'nikunaniliu' kwa tabia yako ya Ushoga ( Mwendo ) na Kukukatalia kwani Mimi Dhambi hiyo siifanyi umetokea Kukereka vilivyo na ID yangu hii ya KEROZENE. Pole sana Ndugu.
wadada wa siku izi mko na shida sana.

Kila saa Ni kupost ujinga tu. Kweli wewe Ni KERO
 
Back
Top Bottom