Wachezaji kudai posho na malupulupu yao huo sio utovu wa nidhamu kama mmewaahidi pesa alafu mnageuka na kuwasimamisha ni ulimbukeni

Wachezaji kudai posho na malupulupu yao huo sio utovu wa nidhamu kama mmewaahidi pesa alafu mnageuka na kuwasimamisha ni ulimbukeni

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nachojua ni msimamo wa chama kuhusu posho na ahadi ambazo wachezaji waliahidiwa kabla ya mechi na wydad! Wachezaji hawajapewa posho yoyote ,chama aliamua kuufuata uongozi ili kudai haki ya posho ambazo waliahidiwa ndipo akaonekana kama mtovu wa nidhamu ,kiongozi mmoja alimtolea chama lugha chafu ,huyu mzambia na yeye hakumchelewesha ,chama hana kosa lolote wapeni ahadi ambazo zinalipika. pamoja na malikimbizo ya mishahara ya miezi mitatu
 
Nachojua ni msimamo wa chama kuhusu posho na ahadi ambazo wachezaji waliahidiwa kabla ya mechi na wydad! Wachezaji hawajapewa posho yoyote ,chama aliamua kuufuata uongozi ili kudai haki ya posho ambazo waliahidiwa ndipo akaonekana kama mtovu wa nidhamu ,kiongozi mmoja alimtolea chama lugha chafu ,huyu mzambia na yeye hakumchekewesha ,chama hana kosa lolote wapeni ahadi ambazo zinakiuka pamoja na malikimbizo ya mishahara ya miezi mitatu
Hawa ma Pro wanajielewa wapeni pesa zao .....anawakilisha walio wanyonge.....dawa ya deni kulipa...
 
Hiyo posho anadai pekee yake tu ? au wakimataifa anajielewa ni yeye tu ? Posho inatolewa baada ya muda gani kuisha kwa mechi husika?
 
Halafu siyo poa kuwadanganya watu wazima kama watoto.
 
Nachojua ni msimamo wa chama kuhusu posho na ahadi ambazo wachezaji waliahidiwa kabla ya mechi na wydad! Wachezaji hawajapewa posho yoyote ,chama aliamua kuufuata uongozi ili kudai haki ya posho ambazo waliahidiwa ndipo akaonekana kama mtovu wa nidhamu ,kiongozi mmoja alimtolea chama lugha chafu ,huyu mzambia na yeye hakumchelewesha ,chama hana kosa lolote wapeni ahadi ambazo zinalipika. pamoja na malikimbizo ya mishahara ya miezi mitatu
apigwe mtu tu km vp...
 
wanawapenda professional lkn kuwatimizia ahadi wanafanya uswahili
 
Nachojua ni msimamo wa chama kuhusu posho na ahadi ambazo wachezaji waliahidiwa kabla ya mechi na wydad! Wachezaji hawajapewa posho yoyote ,chama aliamua kuufuata uongozi ili kudai haki ya posho ambazo waliahidiwa ndipo akaonekana kama mtovu wa nidhamu ,kiongozi mmoja alimtolea chama lugha chafu ,huyu mzambia na yeye hakumchelewesha ,chama hana kosa lolote wapeni ahadi ambazo zinalipika. pamoja na malikimbizo ya mishahara ya miezi mitatu
Dah! hapa ndio mnazidi kutuchanganya aisee.
 
Acheni Ramli.Kwa hiyo na Kapama naye kwa anavyosugua benchi ana ubavu wa kudai posho bila kuvuja Jasho??

Chama ni mara nyingi amekua akisumbuana na viongozi.,Sema Mara zote Viongozi walikua wanambeba kwa mbeleko kwa sababu ya kiwango chake na uhitaji wake kwa timu.

Ila kwa Sasa Chama kaporomoka kiwango,ko ni muda wa yeye kuacha vitimbwi la sivyo ataachwa kwa aibu.
 
Back
Top Bottom