Wachezaji kurudi makwao mara kwa mara kwa sababu za kifamilia ni kutokuwa na professionalism, haifai

Wachezaji kurudi makwao mara kwa mara kwa sababu za kifamilia ni kutokuwa na professionalism, haifai

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Kumekuwa na tabia inayokera sana ya wachezaji kuruhusiwa hovyo na viongozi wa timu kwenda makwao eti tu kwasababu za matatizo ya kifamilia na hili naliona sana katika klabu yangu pendwa ya Yanga sc.

Haingii akilini timu iko pre season kwa maandalizi kabambe then unasikia mara pacome karuhusiwa kusafiri kurudi kwao, msimu ulioisha ilikuwa ni kama wimbo wa taifa katika kila mechi kubwa na muhimu nilazima usikie kuna baadhi ya wachezaji muhimu wanamatatizo ya KIFAMILIA, Rubbish

Ndiyo maana wachezaji wanalipwa mamilioni mengi ,nahii ni kuwataka kuzitumikia timu zao hata katika nyakati mbaya za maisha yao binafsi.. jambo hili sio jema kwa muunganiko wa timu na linakera kweli kweli, ni upumbavu na kukosa uweledi
 
Kwahiyo mtoa mada kwenye kumtumia mtu kikazi huoni kabisa haja ya utimamu wake wa akili?
Ukitaka upate walau 80%-99% basi ni vyema kuhakikisha akili yake ipo sawa na tayari.
 
Wakati mwingine ubinadamu utangulie mbele badala ya kila kitu. Hata kama mtu analipwa mamilioni ya fedha ila ile ni familia yake ambayo inamtegemea hata yeye hatokua sawa ikiwa mambo hayaendi sawa. Timu inakuhitaji kwa asilimia 100 ndio maana wanaruhusiwa kuondoka kusolve matatizo ya kifamilia.
 
Kumekuwa na tabia inayokera sana ya wachezaji kuruhusiwa hovyo na viongozi wa timu kwenda makwao eti tu kwasababu za matatizo ya kifamilia na hili naliona sana katika klabu yangu pendwa ya Yanga sc.

Haingii akilini timu iko pre season kwa maandalizi kabambe then unasikia mara pacome karuhusiwa kusafiri kurudi kwao, msimu ulioisha ilikuwa ni kama wimbo wa taifa katika kila mechi kubwa na muhimu nilazima usikie kuna baadhi ya wachezaji muhimu wanamatatizo ya KIFAMILIA, Rubbish

Ndiyo maana wachezaji wanalipwa mamilioni mengi ,nahii ni kuwataka kuzitumikia timu zao hata katika nyakati mbaya za maisha yao binafsi.. jambo hili sio jema kwa muunganiko wa timu na linakera kweli kweli, ni upumbavu na kukosa uweledi
Wachezaji wanarogana sana, ushindani wa namba Yanga ni mkubwa sana, hivyo hurudi makwao kuchomoa misumari waliyo honhomezewa Na wenzao NDAni ya Yanga
 
Kumekuwa na tabia inayokera sana ya wachezaji kuruhusiwa hovyo na viongozi wa timu kwenda makwao eti tu kwasababu za matatizo ya kifamilia na hili naliona sana katika klabu yangu pendwa ya Yanga sc.

Haingii akilini timu iko pre season kwa maandalizi kabambe then unasikia mara pacome karuhusiwa kusafiri kurudi kwao, msimu ulioisha ilikuwa ni kama wimbo wa taifa katika kila mechi kubwa na muhimu nilazima usikie kuna baadhi ya wachezaji muhimu wanamatatizo ya KIFAMILIA, Rubbish

Ndiyo maana wachezaji wanalipwa mamilioni mengi ,nahii ni kuwataka kuzitumikia timu zao hata katika nyakati mbaya za maisha yao binafsi.. jambo hili sio jema kwa muunganiko wa timu na linakera kweli kweli, ni upumbavu na kukosa uweledi
Noted with thanks 🙏, nadhani hawa wachezaji wa kulipwa lazima waambiwe kwamba unapokuwa mchezaji wa kulipwa mwili wako unakuwa ni mwili wa timu
 
Foden mwenyewe alipaa kwenda Manchester katikati ya Euro hiyo ni kawaida hao ni binadam tena wanategemewa sana
NB
Msimu huu tunabeba la 4
Hata kule FIFA world cup ya Qatar nani yule wa England, kati ya Rashford ama nani sijui alipaa kwao akarudi kuendelea na kambi na akakisakata
 
Hata kule FIFA world cup ya Qatar nani yule wa England, kati ya Rashford ama nani sijui alipaa kwao akarudi kuendelea na kambi na akakisakata
Watu wanachukulia poa tatizo la kifamilia wenzetu hufikia hatua ya kukupa hadi mda wa kupumzika ili ku sort out tatizo Diego forlan alivunja mkataba na man u kwa ajili ya kumuuguza dada yake pale Madrid na ikabidi kujiunga na atletico ili awe karibu nae
 
Swali fikirishi kwanini matatizo ya kifamilia hutokea wakati wa matukio muhimu ya club,( main events)
Inaonekana sababu zinazowafanya wapewe ruhusa Zina manufaa kwa timu ila hiyo ni lugha tu ya matatizo ya kifamilia lakn wanakuwa na agenda yao binafsi
 
Kuruhusiwa kwenye changamoto ya kifamilia n sawa sema wachezaji wetu hawa sizan kama inakuwa kweli changamoto ya kifamilia angalia ishu ya Morrison
 
Wewe ungekua kiongozi unaonekana ungekua mkoloni sana.Kucheza mpira ni ajira kama zingine na wachezaji wana mikataba ya kitumishi inayozingatia haki zao mbali mbali haijalishi analipwa nini.
 
Ukiwa na upwiru mwili unakuwa mzito,wanaenda kutoomba
 
Back
Top Bottom