mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
Kumekuwa na tabia inayokera sana ya wachezaji kuruhusiwa hovyo na viongozi wa timu kwenda makwao eti tu kwasababu za matatizo ya kifamilia na hili naliona sana katika klabu yangu pendwa ya Yanga sc.
Haingii akilini timu iko pre season kwa maandalizi kabambe then unasikia mara pacome karuhusiwa kusafiri kurudi kwao, msimu ulioisha ilikuwa ni kama wimbo wa taifa katika kila mechi kubwa na muhimu nilazima usikie kuna baadhi ya wachezaji muhimu wanamatatizo ya KIFAMILIA, Rubbish
Ndiyo maana wachezaji wanalipwa mamilioni mengi ,nahii ni kuwataka kuzitumikia timu zao hata katika nyakati mbaya za maisha yao binafsi.. jambo hili sio jema kwa muunganiko wa timu na linakera kweli kweli, ni upumbavu na kukosa uweledi
Haingii akilini timu iko pre season kwa maandalizi kabambe then unasikia mara pacome karuhusiwa kusafiri kurudi kwao, msimu ulioisha ilikuwa ni kama wimbo wa taifa katika kila mechi kubwa na muhimu nilazima usikie kuna baadhi ya wachezaji muhimu wanamatatizo ya KIFAMILIA, Rubbish
Ndiyo maana wachezaji wanalipwa mamilioni mengi ,nahii ni kuwataka kuzitumikia timu zao hata katika nyakati mbaya za maisha yao binafsi.. jambo hili sio jema kwa muunganiko wa timu na linakera kweli kweli, ni upumbavu na kukosa uweledi