uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Yah kulia kupokezanaKama mnyama vile, nae si alipiga 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah kulia kupokezanaKama mnyama vile, nae si alipiga 4
mambo hayaendi sawa wapi wakati wanaendaga kupelekea moto wake zao wajinga hawa.hata yeye hatokua sawa ikiwa mambo hayaendi sawa.
Wewe unaishi na familia ni rahisi mwenzako anaishi kambini. Panua wigo wa fikra.Kumekuwa na tabia inayokera sana ya wachezaji kuruhusiwa hovyo na viongozi wa timu kwenda makwao eti tu kwasababu za matatizo ya kifamilia na hili naliona sana katika klabu yangu pendwa ya Yanga sc.
Haingii akilini timu iko pre season kwa maandalizi kabambe then unasikia mara pacome karuhusiwa kusafiri kurudi kwao, msimu ulioisha ilikuwa ni kama wimbo wa taifa katika kila mechi kubwa na muhimu nilazima usikie kuna baadhi ya wachezaji muhimu wanamatatizo ya KIFAMILIA, Rubbish
Ndiyo maana wachezaji wanalipwa mamilioni mengi ,nahii ni kuwataka kuzitumikia timu zao hata katika nyakati mbaya za maisha yao binafsi.. jambo hili sio jema kwa muunganiko wa timu na linakera kweli kweli, ni upumbavu na kukosa uweledi
Sasa kama hapeleki moto mambo hayatakua sawa pia kwakemambo hayaendi sawa wapi wakati wanaendaga kupelekea moto wake zao wajinga hawa.