Wachezaji mpira wa ligi kuu wanakimbiza kwenye kumiliki pisi kali, wasanii wa bongo fleva wanafeli wapi?

Wachezaji mpira wa ligi kuu wanakimbiza kwenye kumiliki pisi kali, wasanii wa bongo fleva wanafeli wapi?

Hatari wazee wa boli wananuka hela tuu maana mshahara alafu na match winning bonus kwa wingi hamna demu anachomoa
Hawa wachezaji wa stend yunaited mbona tunawapigia madem zao kwakuwa hawana kitu?
 
Hawa wachezaji wa stend yunaited mbona tunawapigia madem zao kwakuwa hawana kitu?
Ah hawana hela hao wale wa ligi kuu kama wa yanga azam simba hatari mzeya mibonus tuu wanamgwgeda demu wako vizuri. Na walivyo na pum,i alafu washenze wale wanaongezea na vumbi la congo aisee hatari
 
Back
Top Bottom