Wachezaji na wasanii toka DRC rudini nyumbani mkaikomboe nchi yenu

Wachezaji na wasanii toka DRC rudini nyumbani mkaikomboe nchi yenu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Yaani jamaa wako stejini wananengua,wengine wako viwanjani wanacheza tu mpira,hizo nguvu mgezitumia vitani M23 wangeshasalimu amri

Mwaka 1978 nilijitoleakumfurusha iddi amini kule uganda nikiwa na miaka 18 tu,nilijitolea kamamgambo tukapewa mafunzo ya ukuruta mimi na wenzangu.

Huko Ukraini pia chupuchupu niende kujitolea kupigana na Putin nilipungukiwa nauli kidogo tu.
Unamjua Che Guavala,alivipiga vita vingi sana kwa njia ya kujitolea
 
Ile vita Ina siri nyingi sana Nyuma ya Pazia.

MKATABA WA LEMELA.
1. Kageme.
2. Mseven.
3. Tanzania.
4. UN.
5. Hutu na Tutsi.
6. Magharibi nk.
 
Kwani katiba ya DRC ndivyo inavyosema?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Hapa unataka kusema vita ikitokea Tanzania, tutawahitaji Samata na Diamond(zombie) Frontline?
Vita ya kagera nilienda kujitolea kama mgambo na sikuwa askari,huko ukraine wadau kibao wamejitolea kujiunga na jeshi
 
Vita ya kagera nilienda kujitolea kama mgambo na sikuwa askari,huko ukraine wadau kibao wamejitolea kujiunga na jeshi
Mkuu hongera sana kwa kuitetea nchi yako...

Unaweza kutwambia kikosi chenu kiliongozwa na nani?
 
Back
Top Bottom