Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Sasa kwani kujitolea lazimaKuwa mgambo wa kujitolea inahitaji kuwa mwanajeshi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani kujitolea lazimaKuwa mgambo wa kujitolea inahitaji kuwa mwanajeshi?
Mimi sijui kabisa muziki wa Bongo ila s2keys sio zombie,nadhani zombie ni s2kizzyMimi sijui kabisa muziki wa Bongo ila Diamond sio Zombi, Nadhani Zombi ni S2keys.
Haya ni mawazo ya idiotsYaani jamaa wako stejini wananengua,wengine wako viwanjani wanacheza tu mpira,hizo nguvu mgezitumia vitani M23 wangeshasalimu amri
Zilikua zinapitika...Wakati juzi barabara zilifungwa jijini daslamu sababu yao