mkuu utawaweza wabongo kwa ujuaji na uropokajiKila jambo lina wahusika wake mkuu....Mfano nikuulize Janga la Kariakoo na Hanang ulisaidia nn
Hapa unataka kusema vita ikitokea Tanzania, tutawahitaji Samata na Diamond(zombie) Frontline?
Nakubali masahihisho, asante.Mimi sijui kabisa muziki wa Bongo ila Diamond sio Zombi, Nadhani Zombi ni S2keys.
Kila jambo lina wahusika wake mkuu....Mfano nikuulize Janga la Kariakoo na Hanang ulisaidia nn
yaani amenishangaza sana aseemkuu utawaweza wabongo kwa ujuaji na uropokaji
Mkuu hongera sana kwa kuitetea nchi yako...Vita ya kagera nilienda kujitolea kama mgambo na sikuwa askari,huko ukraine wadau kibao wamejitolea kujiunga na jeshi
Sasa kwani wao wanajeshiYaani jamaa wako stejini wananengua,wengine wako viwanjani wanacheza tu mpira,hizo nguvu mgezitumia vitani M23 wangeshasalimu amri
Hapa unataka kusema vita ikitokea Tanzania, tutawahitaji Samata na Diamond(zombie) Frontline?
Ndo anachomaanisha pia aitwe na mange kimambi aje apambaneHapa unataka kusema vita ikitokea Tanzania, tutawahitaji Samata na Diamond(zombie) Frontline?
Wanaofaidi mema ya ku_zaire ndiyo wanaotakiwa wakayapiganie.Yaani jamaa wako stejini wananengua,wengine wako viwanjani wanacheza tu mpira,hizo nguvu mgezitumia vitani M23 wangeshasalimu amri