Wachezaji Nyota 3 wa Rivers Plate Walizuiwa kucheza kwa Siasa za Corona

Wachezaji Nyota 3 wa Rivers Plate Walizuiwa kucheza kwa Siasa za Corona

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Masaa mawili kabla ya mechi ya leo .wachezaji 3 tegemeo wa Timu yw Nigeria walizuiwa kucheza . Kisingizio ni Covid.
Yanga mjiandae kwa shughuli kamamlioifanya kwa Mkapa leo!
 
Wanadai kua nao kuna wachezaji wao watatu muhimu hawapo, men who cares?

Hao wachezaji watatu walikuwepo siku ya wananchi lakini hawakua na msaada wowote mbele ya testical

Kwa hiyo utopolo hata waje na backup kama hiyo bado haiwezi kua excuse kujenga imani iliyotoweka kwa mashabiki wao kua wana timu mbovu yenye propaganda zisizo na msingi
 
Back
Top Bottom