Wanadai kua nao kuna wachezaji wao watatu muhimu hawapo, men who cares?
Hao wachezaji watatu walikuwepo siku ya wananchi lakini hawakua na msaada wowote mbele ya testical
Kwa hiyo utopolo hata waje na backup kama hiyo bado haiwezi kua excuse kujenga imani iliyotoweka kwa mashabiki wao kua wana timu mbovu yenye propaganda zisizo na msingi