msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,285
- 2,969
Hiyo iko Tanganyika tu wewe boya ila huko duniani haipo hiyoPumbavu! Hii timu siyo ya club ni timu ya Taifa
Kwa hiyo kama hujui nafasi ya kocha wa timu ya Taifa hutangazwa usimwage uharo wako hapa!
Dola 75 hata laki tatu inafika kweli?
Siku ile wakati wanaondoka kwenda Misri naibu waziri aliwahakikishia kuwa malalamiko yao yote watayashughulikia. Ni wazi kabisa wachezaji wameondoka wakiwa na vitu vingi havijakaa Sawa ikiwepo malipo. Motisha Hakuna tusitegemee timu kufanya vizuri. In fact maandalizi ya timu,kambi, Motisha hayakuwa mazuri ukilinganisha na hata nchi jirani
Mpumbavu! Duniani ndiyo wapi?!Hiyo iko Tanganyika tu wewe boya ila huko duniani haipo hiyo