Wachezaji wa Kaizer Chiefs waliokosa mechi ya kwanza na Simba Sc waungana na timu kuja Tanzania

Wachezaji wa Kaizer Chiefs waliokosa mechi ya kwanza na Simba Sc waungana na timu kuja Tanzania

2776363_IMG-20210516-WA0009.jpg
 
Habari.

Kocha mkuu wa Kaizer Chiefs mtaalamu Hunt aliyekuwa na kicheko cha dharau dakika ya 65 ya mchezo wa kwanza wa klabu bingwa Africa CAFCL, Hunt amethibitisha wachezaji wawili waliokuwa majeruhi kuungana na timu.

Wachezaji hao waliokosa mechi ya kwanza ni nahodha wa timu Kuhne na mlinda mlango Daniel Akpey.

Hivyo kusafiri na timu na tunatarajia watacheza mchezo ujao kwa Mkapa.

Nawasilisha Mzee Mkoloni

Cc: Kichwa Kichafu
maweeeeeeeeee 5G
 
Kama Approach ya Kocha wa simba ni ile ile atapigwa tena..Watamvizia akimbie kimbie bila Plan wampige...

KUFUNGWA GOLI 4 alishindwa kuwa na Game plan
Sijui huko mapumziko walienda kuzungumza nini?[emoji23]
 
Back
Top Bottom