Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha msingi wachezaji wao nyota wakutwe na korona kwa hisani ya pesa za muhindi
Uzuri raisi wa caf ni wa Africa kusini siyo yule walikuwa wanamchezea Simba inaweza ikafungiwa inatakiwa wawe makini kwa mzuluFirst elen yootee ya kaizer chief itakutwa na Covid 19, sijui nini kitafuatia apo
maweeeeeeeeee 5GHabari.
Kocha mkuu wa Kaizer Chiefs mtaalamu Hunt aliyekuwa na kicheko cha dharau dakika ya 65 ya mchezo wa kwanza wa klabu bingwa Africa CAFCL, Hunt amethibitisha wachezaji wawili waliokuwa majeruhi kuungana na timu.
Wachezaji hao waliokosa mechi ya kwanza ni nahodha wa timu Kuhne na mlinda mlango Daniel Akpey.
Hivyo kusafiri na timu na tunatarajia watacheza mchezo ujao kwa Mkapa.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu
Usidhani hawa hawana helaFirst elen yootee ya kaizer chief itakutwa na Covid 19, sijui nini kitafuatia apo
Nasikiaaa afisa corona n Mtanzania.Usidhani hawa hawana hela
Ni Jambo la vipimo lipo chini ya CAF
[emoji23][emoji23][emoji23]kishaumanaaa
Sijui huko mapumziko walienda kuzungumza nini?[emoji23]Kama Approach ya Kocha wa simba ni ile ile atapigwa tena..Watamvizia akimbie kimbie bila Plan wampige...
KUFUNGWA GOLI 4 alishindwa kuwa na Game plan
Goal ngapi mkuu?Utaratibu ni uleule"kwa Mkapa hatoki mtu"Kaizer atakufa goli nne au zaidi,muda utaongea.
Yule kocha atacheka tena kwa Mkapa!Kile kicheko kilinikera sana kuliko hata magor tuliyofungwa yule kocha wa kaizer anadharau sana lakin naamin kwa Mkapa hatoki
Simba nguvu moja !!
Huu upuuzi unatia aibu taifa!Cha msingi wachezaji wao nyota wakutwe na korona kwa hisani ya pesa za muhindi
Wana utaratibu wa kukimbia mtandaoni hao!Ngoja tusevu hii komenti
Jiandae ki-psychology-a!Daaaaa Simba yangu
Simba atapewa point 3 na magoal matatu.[emoji23][emoji23][emoji23]First elen yootee ya kaizer chief itakutwa na Covid 19, sijui nini kitafuatia apo
Wataweka sura zao wapi hawa wanamsimbazi!Kuna jamaa yangu kanimbia keizer chief wana magoli 80 ya vichwa.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kubana Kende!
Itakuwa kadi ya saba msimu huu wa CAF CL, kuanzia ile ya Plateau ya NigeriaNi wapi naweza pata kadi ya uanachama wa Kaizer Chiefs?
Kaizer anapigwa tano na watakao watia gundu zaidi Kaizer ni nyinyi mashabiki wa Ndezi f.c,Yanga inagundu kushabikia Kaizer ni kuipa gundu Kaizer Chiefs.Goal ngapi mkuu?
Atakufa au utakufa hizo goals?