Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Nadhani labda sababu ya kutafuta maisha au labda ni kingine ili tucheze soka muda mrefu Sana sijui..
Week iliyopita kulikuwa na mashindano ya soka kwa vijana wa mashule Africa chini ya miaka 16..(u-16)..
kituko zaidi kilikuwa ni kwa wachezaji wa congo kwa miili yao nisiongee Sana
huyu janja ana miaka 16 mchezaji bora wa mashindano dogo atatoboa Sana huyu baadae. 👆👆
Huyu dogo pia ni kipa bora wa mashindano anatoka congo pia ni chini ya miaka 16 nadhani ana miaka 12..dogo huyu future yake iko wazi atakuja kucheza ulaya. 👆👆
Ukiachana na mashindano ya wadogo zetu hao juzi pia kuna hawa kaka zao madogo ambao ndio kwa sasa ni vijana kabisa yaani wamoto Sana... 👇👇
huyu dogo wa Cameroon hapa mwenye miaka 16 fundi Sana yaani kama umewahi kumuona lakini pia ana binti yake mwenye miaka 27..
nadhani ni jambo la kumpongeza dogo huyu ambaye Neymar ni kama kaka yake kisoka atajifunza vingi 👆👆
pia kuna huyu janja anacheza pale simba huyu pia atakuja kutoboa Sana maana umri unaruhusu kabisa yaani ukizingatia nafasi yake ni beki wa kati basi ana muda mrefu wa kucheza yeye ana miaka 26 pia.. 👇👇
pia kwa Wale mtakaohitaji picha yake full mumtambue maana kuna mawakala wengi humu Sana wanaweza kumtafutia team huyu dogo.. hii nyingine 👇👇
Ni wakati sasa wa mawakala kuwatafutia team madogo hawa maana wana vipaji Sana hasa huyu wa mwisho hapa...
Week iliyopita kulikuwa na mashindano ya soka kwa vijana wa mashule Africa chini ya miaka 16..(u-16)..
kituko zaidi kilikuwa ni kwa wachezaji wa congo kwa miili yao nisiongee Sana
huyu janja ana miaka 16 mchezaji bora wa mashindano dogo atatoboa Sana huyu baadae. 👆👆
Huyu dogo pia ni kipa bora wa mashindano anatoka congo pia ni chini ya miaka 16 nadhani ana miaka 12..dogo huyu future yake iko wazi atakuja kucheza ulaya. 👆👆
Ukiachana na mashindano ya wadogo zetu hao juzi pia kuna hawa kaka zao madogo ambao ndio kwa sasa ni vijana kabisa yaani wamoto Sana... 👇👇
huyu dogo wa Cameroon hapa mwenye miaka 16 fundi Sana yaani kama umewahi kumuona lakini pia ana binti yake mwenye miaka 27..
nadhani ni jambo la kumpongeza dogo huyu ambaye Neymar ni kama kaka yake kisoka atajifunza vingi 👆👆
pia kuna huyu janja anacheza pale simba huyu pia atakuja kutoboa Sana maana umri unaruhusu kabisa yaani ukizingatia nafasi yake ni beki wa kati basi ana muda mrefu wa kucheza yeye ana miaka 26 pia.. 👇👇
pia kwa Wale mtakaohitaji picha yake full mumtambue maana kuna mawakala wengi humu Sana wanaweza kumtafutia team huyu dogo.. hii nyingine 👇👇
Ni wakati sasa wa mawakala kuwatafutia team madogo hawa maana wana vipaji Sana hasa huyu wa mwisho hapa...