Wachezaji wa Kusini mwa Africa waliowahi kucheza soka Tanzania

Wachezaji wa Kusini mwa Africa waliowahi kucheza soka Tanzania

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Leo, tuwakumbuke wachezaji kutoka kusini mwa Afrika waliowahi kucheza soka hapa Tanzania, nikianza na Wisdom Ndlovu kutoka Malawi, huyu alicheza Yanga. Unamkumbuka yupi? Endeleaa..
 
Sadney Urkhob, Thabani Kamussoko, Donald Ngoma, Justice Majabvi, Peter Muduhwa, Method Mwanjali
 
Constantine Kimanda wa Rwanda
Lucas Mushomba wa Zambia mwaka 1978
Mayaula Mayoni alikuwa mwanamuziki toka Congo ila alichezea Yanga ila ni RIP kwa sasa
 
Back
Top Bottom