Siku chache zilizopita kuna taarifa tulipata kuhusu wachezaji wa Red Sea walioingia mitini badala ya kurudi kwao baada ya kuondolewa kwenye mashindano hatua ya robo fainali,ila mwisho wa siku ikabainika wamejisalimisha wizarani,naomba wadau mnisaidie mambo mawili..
i) Maombi yao ya ukimbizi yamefikia wapi??
yalikubaliwa au yalipigwa chini?
ii)Kwa sheria za CECAFA,FIFA e.t.c,hivi wakikubaliwa kuwa wakimbizi wanaruhusiwa kutafuta timu za kuchezea hapa bongo?
Naomba mwenye ufahamu wa masuala hayo mawili or any anisaidie.
i) Maombi yao ya ukimbizi yamefikia wapi??
yalikubaliwa au yalipigwa chini?
ii)Kwa sheria za CECAFA,FIFA e.t.c,hivi wakikubaliwa kuwa wakimbizi wanaruhusiwa kutafuta timu za kuchezea hapa bongo?
Naomba mwenye ufahamu wa masuala hayo mawili or any anisaidie.