Wachezaji wa Simba hii tabia kawafundisha nani?

siyo pichaduka ni kweli ilitokea kama sikosei mwaka 1999. Huyo mchezaji alikuwa anaitwa karume....... ubini nauficha maana ilikanushwa kwamba mwandishi hakuwa na taarifa sahihi bali alikusudia kumchafua
Hatar sana wazee wa kila mtu ashinde mechi zake
 
Njaa inaathiri uwezo wa kufikiri. Bakuli limebuma.Ule mchango alioutoa Simba umeanza kwisha.Inabidi ngonjera za Manji zirudi tena ili wachezaji wavumilie njaa.
Zahera nae keshaweka ultimatum bila bilioni 2.3 anarudi Congo.
Mavi lazima yaanze kugonga chupi.
 
Mechi ya Kwanza Yanga alimchangia Simba na mkaziacha TFF maana hamna njaa?
 
Sibishani na mbwa bali huwa nazungumza na mwenye mbwa.
 
Kwa hiyo Abromovic anavyotoa hela Chelsea inakuwa ni bakuli?
Ni bakuli tu. Hadi club ijiendeshe kwa mapato na matumizi yake sio hela ya mfukoni mwa mtu. Ni kisa cha FIFA kuanzisha financial fair play. Hasa baada ya ujio wa Man City na PSG.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…