msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,285
- 2,969
Hatar sana wazee wa kila mtu ashinde mechi zakesiyo pichaduka ni kweli ilitokea kama sikosei mwaka 1999. Huyo mchezaji alikuwa anaitwa karume....... ubini nauficha maana ilikanushwa kwamba mwandishi hakuwa na taarifa sahihi bali alikusudia kumchafua