Wachezaji wa SIMBA SC , mnashida gani?

Ndio maana nilisema timu ya Taifa inauliwa na wachezaji wa SSC kwa back pass

Players wa Yanga na Azam hawana huu ujinga
Hapo umeweka sana u-team. Itoshe tu kusema taifa sitaz yote ni mamburula
 
Hapo umeweka sana u-team. Itoshe tu kusema taifa sitaz yote ni mamburula

Inawezekana ila players wa SSC pia ni tatizo

Nimechukia sna manula anaruhusu goli dakika zile

Ni tatizo sana
 
Kwamba wachezaji wa utopolo ndio wakutufikisha nchi ya ahadi. We kweli kilaza.
 
Uko katika kilele cha ujinga.
 
Halafu wewe kiumbe una tatizo sugu la kutumia kulitumia vibaya neno kulala! Timu ikifungwa unasema imelalwa! Golikipa akifungwa unasema wamemlala!

Hivi wewe mwenzetu ni mtu wa wapi hata Kiswahili hujui? Kwa nini unalitumia neno mahali pasipostahili?
 
Halafu wewe kiumbe una tatizo sugu la kutumia kulitumia vibaya neno kulala! Timu ikifungwa unasema imelalwa! Golikipa akifungwa unasema wamemlala!

Hivi wewe mwenzetu ni mtu wa wapi hata Kiswahili hujui? Kwa nini unalitumia neno mahali pasipostahili?

Mim ni mtu wa duniani nilipotoka sipajua na ninapokwenda sipajua

Wewe je wa wapi
 
Mo hussein kazingua sana, kuna movement moja hv kaingia nayo ndani baada ya kupiga pasi ya V kwa mwenzake aliekua free yeye kaipeleka ndani kwenye msitu wa mabeki wa timu pinzani
 
Mo hussein kazingua sana, kuna movement moja hv kaingia nayo ndani baada ya kupiga pasi ya V kwa mwenzake aliekua free yeye kaipeleka ndani kwenye msitu wa mabeki wa timu pinzani
Zimbwe siku zote krosi zake hazina macho na pamoja na misuli kujaa miguuni, mashuti yake huwa myepesi kama ya mtoto mdogo.

Kumjibu mleta mada, aliyeiroga Taifa Stars ndiye kairoga Simba. Tukimpata huyo mchawi tutakuwa tumeua ndege wawili kwa jiwe moja.
 

Yule Mwamnyeto huoni madudu yake
 
We kiazi,hukuona Samatta ndio kampa pasi Msuva akafunga goli? Au ndo unathibitisha msemo wa Manara kwamba Yanga wenye akili ni wawili tu
 
Kweli kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…