Kama unavyopigwaga...hata m ningewapiga
Njoo inboxBaada ya dakika 90 kumalizika kwa mechi kati ya Simba na Ahly Tripol,Mashabiki walianza fujo kwa kurusha makopo na vitu vizito uwanjani huku wakiwalenga wachezaji wa Simba na marefaree na huku Aisha Manura akijeruhiwa na polisi na kuanza kupewa matibabu na madaktari wa timu ya Simba
Amerudia mara mbili ktk bandiko lake, mara ya kwanza nilifikiri ni bahati mbaya.Lengo ni kumtukana manura kwa kumwita Aisha. Inasikitisha sana
Aibu naona mimi...Amerudia mara mbili ktk bandiko lake, mara ya kwanza nilifikiri ni bahati mbaya.
Yaani huyo Jamaa miaka ya 2008 alikuwaga timamu sana sijui hii I'd anaitumia mwanae ? Errors kibao kwenye maandishi yake 🤣🤣🤣Kama unavyopigwaga...
Yaani huyo Jamaa miaka ya 2008 alikuwaga timamu sana sijui hii I'd anaitumia mwanae ? Errors kibao kwenye maandishi yake 🤣🤣🤣
Mchezaji wa Simba huyo humjui golikipa wenu Aisha Manura? Debora nae utasema haumjui?Acha ujinga...Aisha Manura ndo nani...Simba haina huyo mchezaji...
Simjui...alisajiliwa lini?Mchezaji wa Simba huyo humjui golikipa wenu Aisha Manura?
Simba yupi, kuna yule simba Tundu Lissu wa kizimkazi, simba kipara wa Tanzania Safari channel, simba wengine wako Manyara, simba kolowizard wa mbumbumbu FC aliepigwa khamsa, simba wako wengi!!Yaan huna la kuandika unaandika hovyoo.Mnapaswa kuiheshimu simba nyie watoto
Wee Aisha km DeboraAisha Manura
Huyu hapa kachezeshwa km Mtoto leo aibu naona Mimi mpira anatafuta kwa tochisimba kolowizard wa mbumbumbu FC aliepigwa khamsa