OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Mshaanza visingizio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Debora feonandezi haumjui?Simjui...alisajiliwa lini?
Wapuuzi wapigwe ban,wanaleta mpira wa kisela.Baada ya dakika 90 kumalizika kwa mechi kati ya Simba na Ahly Tripol,Mashabiki walianza fujo kwa kurusha makopo na vitu vizito uwanjani huku wakiwalenga wachezaji wa Simba na marefaree na huku Aishi Manula akijeruhiwa na polisi na kuanza kupewa matibabu na madaktari wa timu ya Simba SC.
Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
Umecomfirm uhakika wa hiyo habari?Mshaanza visingizio
Aliyeanzisha uzi ni utopolo mwenzio, na ameshakula ban. Sasa sijui kama visingizio vya Simba vinawezaje kuletwa na mtopolo aka mwiko nyumaMshaanza visingizio
Amna mkuu hili tatizo limeanza baada ya kupiga chanjo ya korona,,, ubongo wake unabanguka kila kukichaYaani huyo Jamaa miaka ya 2008 alikuwaga timamu sana sijui hii I'd anaitumia mwanae ? Errors kibao kwenye maandishi yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]