Wachezaji wa Simba washambuliwa na mashabiki huko Tripol, Aishi Manula ajeruhiwa

Haoo n wa Simba wamechoka na upuuzi wa uwanjan
 
Yaani huyo Jamaa miaka ya 2008 alikuwaga timamu sana sijui hii I'd anaitumia mwanae ? Errors kibao kwenye maandishi yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amna mkuu hili tatizo limeanza baada ya kupiga chanjo ya korona,,, ubongo wake unabanguka kila kukicha
 
Hiii habari pia ipo DW Swahili so nadhan tutaendelea kuipata kupitia waliokua Libya pindi watakapofika
 
Ukiwa utopoloni kichwani una kuwa hivi
 

Attachments

  • downloadfile-4.jpg
    216.9 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…