Wachezaji wa SSC Team-Work inawagharimu

Wachezaji wa SSC Team-Work inawagharimu

Kabisa mkuu,yani leo nimetukana matusi sana ukumbini nlipokua naangalia mpira
Nikawa hadi najiuliza"ina maana benchi la ufundi halioni hiyo hali ya wachezaji kutaka kucheza na jukwaa

Wale orlando kuna muda walikua wanaacha matobo kiasi kwamba kama akina Sakho wangekua hawana ubinafsi wangeshinda ata 3

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Sawa Mayele sio mzuri ; lakini mtafute striker
Bondeni hamuwezi kutoka kwa namna yoyote ile.Hata akishuka yesu ni lazima MTOKE
Unaropoka tu hapa ila ukiambiwa uweke milioni 10 kuwa orlando atashinda nina hakika hutaweka.
 
We ni mshamba na mjinga
Kwahiyo unataka Ahmed aende akawafundishe wachezaji teamwork au? Kila mtu anafanya kaai yake ndg ndo maana ya division of power
Kazi ya Ahmed ni hiyo anayofanya na sio unayotaka wwe
 
Sawa.Nimesoma.Ingawa unaongozwa na hisia kali za uchungu wa Simba SC kuwepo pale ilipo.Unatamani failures tu za Simba kuliko chochote kwa sasa.Mungu akurehemu.
Acha kumuhusisha Mungu kwa mambo ya kipuuzi kama manyau nyau meusi haya ya MAKOLO MAKOLO [emoji19]
 
Shomari Kapombe show me the way .......

Juzi niliandika kuwa SSC haijaandaliwa game za knock out kama hizi. Ushindi wa leo means ni point 3 kwenye makundi, hii ndiyo inaibeba SSC kwenye makundi lakini kwenye hizi knock out ni kama imeshapoteza , huo ndiyo ukweli MCHUNGU.

Sitegemei SSC kama itavuka hii hatua lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea.

Nilimwambia Ahmed Ali nilipokutana nae pale Msimbazi kuwa mpira sio uhamasishaji na kusumbua watu mtaani, mpira ni investment na kuwa na team yenye muunganiko, Simba inakosa kitu muhimu kama TEAMWORK na MUUNGANIKO.

Ukiangalia Uchezaji wa SAKO au KIBU, ni uchezaji wa KIUBINAFSI zaidi ambao kimsingi game kama hizi hautakiwa. SAKO anataka kulazimisha kushinda yeye, huku pembeni yake kuna wachezaji walio kwenye position nzuri.... matokeo yake hakuna anayeshinda... hivyo hivyo kwa KIBU. Team work kwenye timu haipo.

Michuano ya KIMATAIFA ni team work na siyo INDIVIDUAL PERFORMANCE. Hii Philosophy inatakiwa kuwa kwenye vichwa vya wachezaji na kuwe na walimu wa kuwafundisha wachezaji maana ya team work, badala yake muda mwingi unatumika kusumbua watu MITAANI , na kusahau TATIZO la MSINGI la SSC.

Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.

Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu.

Timu ina lack key factors nyingi sana;

1. Hakuna Team work
2. Ubinafsi kwa wachezaji wa SSC, inaelekea hakuna Kiongoz wa SSC anayeliona hili ni tatizo . Kama KIBU na SAKO wasingekuwa wabinafsi , SSC ingeweza kuwa na goli hata tatu. Sako amekuwa mbinafsi snaa kwenye mechi hizi inaelekea akiwa na mpira focus ni yeye kushinda na sio timu ishinde, wachezaji kama hawa hawawezi kuwa msaada kwenye timu. Sako alitakiwa asiingie kipindi cha pili.
Enock , Morison ni watu sana. Enock anayo spirit ya team work, he is always working for the team: SAKO na KIBU are Always working for their little EGO .

3. Hakuna Spirit ya kucheza away game ; nina hakika kule SA , ndani ya kipindi cha 1 simba atakuwa amekalia goli mbili huku lango lake likiandamwa

4 tatizo la nne SSC haina STRIKER sababishi kama vile Mayele ambae kwa nafasi wanazotengeneza SSC , Mayele angekuwa anaondoka na HAT TRICK mara zote .

5 . Tatizo lingine ni Pablo hana maamuz ya haraka, he is always complaining for nothing, mtu kama SAKO alitakiwa atoke kipindi cha kwanza, he is too much into his mind .....

Haya sasa mrudi Kwenye Ligi kusikilizia maumivu ya point 10 ; Pablo nae ajiandae kufukuzwa manaa. Safari ya SSC imefika mwisho.

View attachment 2191216
Huyu ntu anaonekana kuwa na chukiness muombeeni kama inawezekana
 
Pole , Umeumia kwa sababu nimeongea Ukweli Mchungu. MTAFUNGWA straightforwardly bila hata kutumia nguvu. Ninasema tena timu haijaandaliwa kimashindano ya mtoano
Mim ni Simba, ila nakuunga mkono. Tuna kazi ya ziada kufanya kule south. Hatuchezi kitimu sana msimu huu
 
Kabisa mkuu,yani leo nimetukana matusi sana ukumbini nlipokua naangalia mpira
Nikawa hadi najiuliza"ina maana benchi la ufundi halioni hiyo hali ya wachezaji kutaka kucheza na jukwaa

Wale orlando kuna muda walikua wanaacha matobo kiasi kwamba kama akina Sakho wangekua hawana ubinafsi wangeshinda ata 3

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Hii ni akili ya mpenda mpira ila si ya MAKOLOKOLO kama pumba zingine zinavyoandika kimahaba hapa.
 
Na kumbuka hii ni Robo fainali. Siyo timu za kitoto zilizopo hatua hii. Goli Moja siyo kidogo.
Kama hatua ya awali tu uto alipigwa nje ndani , iweje hatua kama hii goli Moja huone halifai?
 
Shomari Kapombe show me the way .......

Juzi niliandika kuwa SSC haijaandaliwa game za knock out kama hizi. Ushindi wa leo means ni point 3 kwenye makundi, hii ndiyo inaibeba SSC kwenye makundi lakini kwenye hizi knock out ni kama imeshapoteza , huo ndiyo ukweli MCHUNGU.

Sitegemei SSC kama itavuka hii hatua lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea.

Nilimwambia Ahmed Ali nilipokutana nae pale Msimbazi kuwa mpira sio uhamasishaji na kusumbua watu mtaani, mpira ni investment na kuwa na team yenye muunganiko, Simba inakosa kitu muhimu kama TEAMWORK na MUUNGANIKO.

Ukiangalia Uchezaji wa SAKO au KIBU, ni uchezaji wa KIUBINAFSI zaidi ambao kimsingi game kama hizi hautakiwa. SAKO anataka kulazimisha kushinda yeye, huku pembeni yake kuna wachezaji walio kwenye position nzuri.... matokeo yake hakuna anayeshinda... hivyo hivyo kwa KIBU. Team work kwenye timu haipo.

Michuano ya KIMATAIFA ni team work na siyo INDIVIDUAL PERFORMANCE. Hii Philosophy inatakiwa kuwa kwenye vichwa vya wachezaji na kuwe na walimu wa kuwafundisha wachezaji maana ya team work, badala yake muda mwingi unatumika kusumbua watu MITAANI , na kusahau TATIZO la MSINGI la SSC.

Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.

Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu.

Timu ina lack key factors nyingi sana;

1. Hakuna Team work
2. Ubinafsi kwa wachezaji wa SSC, inaelekea hakuna Kiongoz wa SSC anayeliona hili ni tatizo . Kama KIBU na SAKO wasingekuwa wabinafsi , SSC ingeweza kuwa na goli hata tatu. Sako amekuwa mbinafsi snaa kwenye mechi hizi inaelekea akiwa na mpira focus ni yeye kushinda na sio timu ishinde, wachezaji kama hawa hawawezi kuwa msaada kwenye timu. Sako alitakiwa asiingie kipindi cha pili.
Enock , Morison ni watu sana. Enock anayo spirit ya team work, he is always working for the team: SAKO na KIBU are Always working for their little EGO .

3. Hakuna Spirit ya kucheza away game ; nina hakika kule SA , ndani ya kipindi cha 1 simba atakuwa amekalia goli mbili huku lango lake likiandamwa

4 tatizo la nne SSC haina STRIKER sababishi kama vile Mayele ambae kwa nafasi wanazotengeneza SSC , Mayele angekuwa anaondoka na HAT TRICK mara zote .

5 . Tatizo lingine ni Pablo hana maamuz ya haraka, he is always complaining for nothing, mtu kama SAKO alitakiwa atoke kipindi cha kwanza, he is too much into his mind .....

Haya sasa mrudi Kwenye Ligi kusikilizia maumivu ya point 10 ; Pablo nae ajiandae kufukuzwa manaa. Safari ya SSC imefika mwisho.

View attachment 2191216
Wewe ndiye George Job?
 
Unaropoka tu hapa ila ukiambiwa uweke milioni 10 kuwa orlando atashinda nina hakika hutaweka.

Naweka hata milioni 100 , I swear . Nitafute inbox tu bet hata 5M, nipo serious. Kwa mpira ambao kila mtu anataka kushinda wewe ukaifunge timu kama orlando kule SA , ni kuota ndoto za mchana. Kikosi cha kina MIKISON MORISON NA CHAMA ndiyo kilikuwa kinatimu work na ndio maana Kaizer Chief ilikula goli Tatu taifa .

Usifanye mchezo wewe kumfunga mtu kwake kwa game za Africa ni ngumu. Hata Ahly hupata shida.

Hatuna Striker ya maana , Hatuna team work, hatuna uwezo wa away game then ukafunge Bondeni,

Tuache kusoften maneno... black and white kwa mpira huu SSC out na tujipange upya. Tutafungwa at the first opportunity yaani straightforward ndani ya kipindi cha kwanza na game kwa Orlando itakuwa ni rahisi kama kutoa unywele kwenye glass ya maziwa
 
Huyu jamaa ndiye yule mchambuzi George Job, inaonekana kauli yake ameisimamia kweli kweli, ikitokea ikawa kweli atavimba haswa.

Nitawaita tena hapa Right baada ya game kwisha : ninasema kwa hakika [emoji817] kuwa TUTAFUNGWA straightforward
 
Back
Top Bottom