Wachezaji wa SSC Team-Work inawagharimu

Robo fainali zote mbili klabu BINGWA Afrika na Shirikisho ,Simba ndio kashinda na clean sheets , Nyumbani,gemu ya ugenini tutafia uwanjani
 
Sawa Mayele sio mzuri ; lakini mtafute striker

Bondeni hamuwezi kutoka kwa namna yoyote ile.Hata akishuka yesu ni lazima MTOKE
Mayele ni mshambuliaji mzuri kushinda mshambuliaji yoyote hapa Tanzania.

Simba kwa sasa haina mshambuliaji mwenye nguvu.
Kwakuwa Kagere na Mugalu Umri umewatupa.
 
Kweli kabisa.
Uto waombe mechi ya kirafiki na Orlando.
 
Umeandika kwa uchungu sana! Lakini pole, huu ushauri ungewapa Utopolo ambao nao walishiriki kuanzia CAF CL, sasa sijui na wao hawakuandaliwa kuingia raundi ya pili! Na sijui kwa nini Mayele hakupiga hat trick
 
Ndio akili za kimbumbumbu za kushikiwa na MO hizi,yaani ushinde kwako moja bila then ukitoka ukienda ugenini unakula hamsa halafu unafurahia.
Unadhani Luc Eymael alikosea kuwaita Manyani na mnabwekabweka tu kama mbwa?
 
Mayele ni mshambuliaji mzuri kushinda mshambuliaji yoyote hapa Tanzania. Simba kwa sasa haina mshambuliaji mwenye nguvu. Kwakuwa Kagere na Mugalu Umri umewatupa.
Jamani huyo Mayele alikuwapo tangu raundi ya awali
 
Yuko mchambuzi mmoja nilimsikia akisema kuwa kuzifanyia uchambuzi Simba na Yanga hawezi kwa kuwa kitakachofuatia ni matusi na utajuta kwa nini ulifanyia uchambuzi timu hizo hata mtu atatoa ushauri mzuri bado atachambwa hadi ashike adabu
 

Sasa nyie bondeni mtakula hizo tano, amini hivo , ndio utajua tatizo ni ugumu wa timu au tatizo ni hamjaandaliwa kwa mechi za kimataifa knock out
 
Sawa Mayele sio mzuri ; lakini mtafute striker

Bondeni hamuwezi kutoka kwa namna yoyote ile.Hata akishuka yesu ni lazima MTOKE
Watatolewa kilaini sana......
nikicheki gem ya jana wale jamaa hawajafanya mashambulizi yyte ya msingi.....
 
mtu akiongea kiufundi anaambiwa ni utopolo...
shida ya uwezo wa kufikiri wa fans wa tz
 
Nakubaliana na wewe kwa yote ila kwa maneno uliyomwambia Ahmed uliendeshwa na mihemko na wivu tu wa timu yako kucheza viwanja vya Ushirika na Manungu tu.Tuachane na Simba sasa hata akifika mwisho ataingia tu Champions League nachokuomba Mtani Andaeni Timu punguzeni mdomo natamani Msimu ujao Kundi A Simba Kundi B Yanga ikiwezekana wote tucheze Robo fainali…
 
Sawa ng'ombe wa Mayele tumekusoma.
 
Megalodon,usihangaike kudili na watu wenye vichwa maji majibu yao watayapata jumapili ni siku chache sana kuanzia sasa na huhitaji kutumia nguvu nyingi maana hata wao wanajua na kocha wao anajua kuwa mechi ya jumapili ni ngumu mno kuliko hao mazombi wanavyofikiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…