Nimewaona leo katika mechi baina ya Tanzania na Sudan baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa hawawezi kuimba wimbo wa Taifa. Hivyo nashauri TFF ifanye jitihada wachezaji wa timu ya Taifa wawe wanafanya mazoezi ya kuimba wimbo huu.
Nimewaona leo katika mechi baina ya Tanzania na Sudan baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa hawawezi kuimba wimbo wa Taifa. Hivyo nashauri TFF ifanye jitihada wachezaji wa timu ya Taifa wawe wanafanya mazoezi ya kuimba wimbo huu.