Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni kikundi cha maigizo ....kinaongozwa na MwijakuNimeona jinsi timu za Morocco, Egypt na leo Guinea walivyolia kwa kutoingia quarter final au semi final. Yaani wanaumia. Ila wachezaji wetu sikuwahi kuwaona wakisikitika kwa kutofanya vizuri
Maximo alishaitengeneza timu. Tulishavuka viwango vya kufurahia pointi 2.Wachezji na mashabiki wa Tanzania wanatakiwa washangilie kwa matokeo ya point mbili, hatukua na wachezaji wengi wenye uzoefu na uwezo wa kutosha.
Kulalamika kiwango Cha timu ya Taifa ni kutotambua status ya soka letu kwa wenye ufahamu na soka letu ata point 2 ni za kushukuru.
ajabuIla Watanzania tuna maneno sana, yani unawalaumu wachezaji kwa kutokulia kweli?
Halafu kwa stage gani tuliyowahi kufika sasa? Zile point 2 tu yalikuwa mafanikio tosha!
Ndio maaana hata Viongozi wao Wakikosea wanajiuzulu. Hapa kwetu Viongozi wameshindwa kumudu majukumu lkn bado wamekalia Viti vyao.Nimeona jinsi timu za Morocco, Egypt na leo Guinea walivyolia kwa kutoingia quarter final au semi final. Yaani wanaumia. Ila wachezaji wetu sikuwahi kuwaona wakisikitika kwa kutofanya vizuri
Nina wasiwasi wewe ni Mwamnyeto au ManulaHahah unataka tulie kama Senegal walivyolia Hadi kushindwa kutembea.
Maximo hajawahi kutengeneza timu ila alijitahidi kwenye hamasa na uzalendo Tena yeye mfungaji wake alikua ngasa wa Futi 5 pale mbele.Maximo alishaitengeneza timu. Tulishavuka viwango vya kufurahia pointi 2.
Walie tu [emoji3][emoji3]Ila Watanzania tuna maneno sana, yani unawalaumu wachezaji kwa kutokulia kweli?
Halafu kwa stage gani tuliyowahi kufika sasa? Zile point 2 tu yalikuwa mafanikio tosha!
Ila mkuu, kimahesabu kushinda mashindano haya ni jambo rahisi, maana timu inacheza mechi chache na kila siku inakua na muda wa kujisahihisha.Maximo hajawahi kutengeneza timu ila alijitahidi kwenye hamasa na uzalendo Tena yeye mfungaji wake alikua ngasa wa Futi 5 pale mbele.
Maximo ni mtu wa saikolojia na hamasa.
Mfano wale watoto wa saint Francis Girls shule maalum kule mbeya, ushindanishe na shule zetu za kawaida za serikali na utegemee utapata ushindani.
Ndivyo ilivyo kwa timu yetu ya Taifa kule AFCON.
Kuna timu zimepata wastani wa Alama C kwenye mashindano zimelia kwa huzuni na sisi timu yetu imepata alama D Tena 2 mnataka tulie wakati mara ya mwisho tulipata D Moja.
Hatuwezi kuvuna tusipo panda.