Wachezaji wa Yanga wanaopaswa kupigwa panga dirisha la usajili

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Wadau wa michezo, msimu unaelekea mwisho hivyo inatoa nafasi kwa dirisha la usajili kufunguliwa. Kwenye usajili mara nyingi ni lazima uondoe mtu ili ulete mtu, kwa kuanzia leo na klabu ya Yanga, wachezaji wapi wanastahili kupunguzwa pale Yanga?
 
BM33 ,anakibul sana sisi kama dar yang African siku zote hua tunachelewesha mishahala pamaoja na mikataba kwa wachezi kutokana na ukata,huyu hatufai katika ile kauli mbi yetu pendwa ya

Tumeipenda wenyewe wacha ituue#
 
BM33 ,anakibul sana sisi kama dar yang African siku zote hua tunachelewesha mishahala pamaoja na mikataba kwa wachezi kutokana na ukata,huyu hatufai katika ile kauli mbi yetu pendwa ya

Tumeipenda wenyewe wacha ituue#

Mawazo yako yamesikika mkuu
 
Wadau wa michezo, msimu unaelekea mwisho hivyo inatoa nafasi kwa dirisha la usajili kufunguliwa. Kwenye usajili mara nyingi ni lazima uondoe mtu ili ulete mtu, kwa kuanzia leo na klabu ya Yanga, wachezaji wapi wanastahili kupunguzwa pale Yanga?

Mchawi wewe mkuu.
 
Wadau wa michezo, msimu unaelekea mwisho hivyo inatoa nafasi kwa dirisha la usajili kufunguliwa. Kwenye usajili mara nyingi ni lazima uondoe mtu ili ulete mtu, kwa kuanzia leo na klabu ya Yanga, wachezaji wapi wanastahili kupunguzwa pale Yanga?
Kikosi chote na benchi la ufundi lote ni wa kuondoka. Hamna timu pale!
 
BM33 ,anakibul sana sisi kama dar yang African siku zote hua tunachelewesha mishahala pamaoja na mikataba kwa wachezi kutokana na ukata,huyu hatufai katika ile kauli mbi yetu pendwa ya

Tumeipenda wenyewe wacha ituue#
Sema anajitambua sio ana kiburi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…