Nitakuwa wa mwisho kuamini upumbavu huu.
Kocha hana la kujitetea.
Kocha hana la kujitetea.
Wachezaji tajwa hapo juu Kapombe, Bocco na Manula wamejazwa mahela na GSM, ili wasifanye vizuri kwenye mechi mbalimbali za nbc premier league.
Hawajitumi kabisa, wakifika 18 za mpinzani wanatoa pasi za kugongesha wachezaji na hatimaye mpira unakwama.
Nakuthibitishieni kuwa timu inahujumiwa na wachezaji na siyo ubovu wa kocha.
Nashauri chezesheni kikosi Cha pili na baadhi ya wachezaji wa kigeni Kama Chama, Mugalu, Sakho, Kanoute.
Aidha fanyeni matibabu ya uhakika kwa Lwanga, la sivyo hata mechi na Prison tutafungwa.
Kocha Hana tatizo, tatizo lipo kwa wachezaji.