Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
kama hauoni una matatizo ya machoBaleke
Musonda
Aucho
Pacome
Dube
Yote kwa yote viongozi wa yanga wamekurupuka kutuletea kocha asiye na profile kubwa
Ts galaxy ...michezo 30 kashinda mechi 12 kapoteza 10 kadraw 8 ..hapa wananchi tumepigwa makosa yamefanyika ..ilifaa kukaa chini na gamond amalizie mda wake.
Mwisho... siioni yanga ikichukua ubigwa msimu huu
Kama yanga wanaweza kufanya kila kitu wanahitaji mashabiki wa nini sasa?Nilidhani unaongea vitu vya maana
Kumbe maelekezo yasiyo na kichwa wala miguu…. Hulipi hata Bili za umeme yanga
Pacome siku hizi anakimbiakimbiaAucho alafu acheze nani? Pacome surely? Aisee kazi ipo
Aucho hamna mchezaji mule, yaani lile ni gobborre atachezea kadi mpaka mmkatae.Aucho alafu acheze nani? Pacome surely? Aisee kazi ipo
Ndiyo ilivyo nowadays mtu akipata simuAucho alafu acheze nani? Pacome surely? Aisee kazi ipo
Aucho kazeeka ...mwili unakataaaAucho alafu acheze nani? Pacome surely? Aisee kazi ipo
watu wanamchukulia poa aucho, ile ni injini ya timu wakimtoa kwa kukurupuka itatugharimu.Aucho alafu acheze nani? Pacome surely? Aisee kazi ipo
Kalpana Scars uran Tsh KiweriweriBaleke
Musonda
Aucho
Pacome
Dube
Yote kwa yote viongozi wa Yanga wamekurupuka kutuletea kocha asiye na profile kubwa
Ts Galaxy ...michezo 30 kashinda mechi 12 kapoteza 10 kadraw 8
Hapa wananchi tumepigwa makosa yamefanyika ..ilifaa kukaa chini na Gamond amalizie mda wake.
Soma Pia:
Mwisho... siioni Yanga ikichukua ubigwa msimu huu
Kuepusha vurugu zisiendelee Jangwani ni bora wakaachiwa washinde mechi kama mbili hiviBaleke
Musonda
Aucho
Pacome
Dube
Yote kwa yote viongozi wa Yanga wamekurupuka kutuletea kocha asiye na profile kubwa
Ts Galaxy ...michezo 30 kashinda mechi 12 kapoteza 10 kadraw 8
Hapa wananchi tumepigwa makosa yamefanyika ..ilifaa kukaa chini na Gamond amalizie mda wake.
Soma Pia:
Mwisho... siioni Yanga ikichukua ubigwa msimu huu
Wewe unavyoona aucho kashuka kiwango au kapanda?Ndiyo ilivyo nowadays mtu akipata simu
Tayari mchambuzi
Acheze nani?Wewe unavyoona aucho kashuka kiwango au kapanda?
Acheze nani?Wewe unavyoona aucho kashuka kiwango au kapanda?
Acheze ...sure boyAcheze nani?
Niko nakula hapa mda huu...wachezaji wengi wanatakiwa wasepe vyuma vipya viingieUna uhakika wa kula lakini??