Wachezaji Wafuatao wangetupisha Yanga SC

Wachezaji Wafuatao wangetupisha Yanga SC

Hii list bila Mwamnyeto bado itakua ni batili.
Pacome na Aucho sikuungi mkono.
 
Yanga hakuna haja ya kuwaacha wachezaji,wamekumbwa tu na upepo wa kisulisuli,wafanye tu rotation ya kikosi ili kuwe na wachezaji mbadala injuries zinapotokea,siyo kama Gamondi kikosi kile kile kina Kibwana Shomari tuliwaona wako vizuri wakasahaulika hadi vipaji vinashuka
 
7 - stop
7 - stop
7 - stop
7 - stop
8 - kwangu
8 - kwangu
J - Naomba Mavi
Last card
3 - Nimemaliza.
 
Baleke
Musonda
Aucho
Pacome
Dube

Yote kwa yote viongozi wa Yanga wamekurupuka kutuletea kocha asiye na profile kubwa
Ts Galaxy ...michezo 30 kashinda mechi 12 kapoteza 10 kadraw 8

Hapa wananchi tumepigwa makosa yamefanyika ..ilifaa kukaa chini na Gamond amalizie mda wake.

Soma Pia:
Mwisho... siioni Yanga ikichukua ubigwa msimu huu
Kumbukeni kuwalipa🤣🤣🤣
 
Nakumbuka kuporomoka Kwa Mnyama, Mambo yalianza hivihivi mara ooh Tedeo Lwanga kazeeka, tena, Laly Bwalya hakimbii kama zamani mara uwanja ule tumerogwa 😁
Halafu Wana Simba tukawa tunabisha matokeo 😔😔😔
 
Hakuna timu ambayo haifungwi hapa Duniani.

Mkifahamu hilo maisha yatakuwa marahisi.
 
Hakuna timu ambayo haifungwi hapa Duniani.

Mkifahamu hilo maisha yatakuwa marahisi.
 
Hakuna timu ambayo haifungwi hapa Duniani.

Mkifahamu hilo maisha yatakuwa marahisi.
 
Baleke
Musonda
Aucho
Pacome
Dube

Yote kwa yote viongozi wa Yanga wamekurupuka kutuletea kocha asiye na profile kubwa
Ts Galaxy ...michezo 30 kashinda mechi 12 kapoteza 10 kadraw 8

Hapa wananchi tumepigwa makosa yamefanyika ..ilifaa kukaa chini na Gamond amalizie mda wake.

Soma Pia:
Mwisho... siioni Yanga ikichukua ubigwa msimu huu
Huyo kocha mwenye profile kubwa utamlipa wewe? Acha utani na mambo siriasi.
 
Back
Top Bottom