Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Gundu like walilichukua kimkengeChama nae anaomba kuondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gundu like walilichukua kimkengeChama nae anaomba kuondoka
Na tuliwaambia wachezaji wao NI VETERANS.umri umekwenda wakabisha.nguvu ya soda imeisha.aziz ki hamna hamna ana 35.Gundu like walilichukua kimkenge
Huyu hayuko serious.Aucho alafu acheze nani? Pacome surely? Aisee kazi ipo
Aucho kanenepa sna...mwili unakataaHuyu hayuko serious.
Hizo mechi cctv zitolewe kwa ajili ya marekesho.Kuepusha vurugu zisiendelee Jangwani ni bora wakaachiwa washinde mechi kama mbili hivi
Kumbukeni kuwalipa🤣🤣🤣Baleke
Musonda
Aucho
Pacome
Dube
Yote kwa yote viongozi wa Yanga wamekurupuka kutuletea kocha asiye na profile kubwa
Ts Galaxy ...michezo 30 kashinda mechi 12 kapoteza 10 kadraw 8
Hapa wananchi tumepigwa makosa yamefanyika ..ilifaa kukaa chini na Gamond amalizie mda wake.
Soma Pia:
Mwisho... siioni Yanga ikichukua ubigwa msimu huu
Halafu Wana Simba tukawa tunabisha matokeo 😔😔😔Nakumbuka kuporomoka Kwa Mnyama, Mambo yalianza hivihivi mara ooh Tedeo Lwanga kazeeka, tena, Laly Bwalya hakimbii kama zamani mara uwanja ule tumerogwa 😁
Pacome siku hizi anakimbiakimbia
Huyo kocha mwenye profile kubwa utamlipa wewe? Acha utani na mambo siriasi.Baleke
Musonda
Aucho
Pacome
Dube
Yote kwa yote viongozi wa Yanga wamekurupuka kutuletea kocha asiye na profile kubwa
Ts Galaxy ...michezo 30 kashinda mechi 12 kapoteza 10 kadraw 8
Hapa wananchi tumepigwa makosa yamefanyika ..ilifaa kukaa chini na Gamond amalizie mda wake.
Soma Pia:
Mwisho... siioni Yanga ikichukua ubigwa msimu huu