Wachezaji Wafuatao wangetupisha Yanga SC

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
 
Hivi ligi ya s.africa unaiona ni dhaifu sana?
 
wewe ungeanzisha timu ndio uwe unaamua nani unamtaka na nani humtaki
 
yani kwenye list Aziz hayupo halafu pacome yupo we ukiachiwa timu inashika nafasi ya 10 kabisa..😂
kazi ya pacome hujaijua bado kumbe Aziz kiwango kishashuka huyo ndo hatufai kwasasa kaangalie uchezaji wake mguu haukai na mpira!
 
Ifike MDA mods muwe mnafuta tu nyuzi ambazo hazieleweki yaani mtu unalalamika aucho aachwe wakati apo apo akilini unajizima data kwani aucho si namba 8 ,Ukabaji si kazi yake asilia

Unasema pacome aachwe 🤔,Unaonaga vituko vya Azizi Ki sikuhizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…