Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Shukrani mkuu kwa kutukumbusha kuhusiana na Zamoyoni MogelaSimba walimwita golden boy
Yanga wakamuita DHL
Huyu ni zamoyoni mogela
Said Mwamba Kizota mmija kati ya wachezaji bora wa Kitanzania kuwahi kutokea.Pia said mwamba
Thomas kipese
Athman china
Waliweza kucheza kwa kiwango kikubwa timu zote mbili.
Hilo lilotokea kampala uganda dar young african na sports club villa mpaka half time yanga kala tatu ndipo fundi huyu akarudi kucheza mkoba kocha wa waqt ule nadhani alikuwa tauzany nzoisaba (kama kumbukumbu sio sahihi waungwana mtarekebisha )basi mpaka mpira unakwisha bao tatu hizo hizo. Game iliyofuatia akaendelea kucheza gwala mpaka tunachukua ndoo.Said Mwamba Kizota mmija kati ya wachezaji bora wa Kitanzania kuwahi kutokea.
Alianza kama mshambuliaji akaja kumalizia career yake kama beki.
Pamoja sana ndugu yangu.Shukrani mkuu kwa kutukumbusha kuhusiana na Zamoyoni Mogela
Villa ya Majid MusisiHilo lilotokea kampala uganda dar young african na sports club villa mpaka half time yanga kala tatu ndipo fundi huyu akarudi kucheza mkoba kocha wa waqt ule nadhani alikuwa tauzany nzoisaba (kama kumbukumbu sio sahihi waungwana mtarekebisha )basi mpaka mpira unakwisha bao tatu hizo hizo. Game iliyofuatia akaendelea kucheza gwala mpaka tunachukua ndoo.
Hii ya Kizota kucheza sentahafu musisi hayupo hii ilikuwa mwaka 1999 kocha wa jogoo akiwa Paul hasule ndio wasededi alicheza mkungu.Villa ya Majid Musisi
Shukrani kwa kuweka kumbukumbu sawa!Hii ya Kizota kucheza sentahafu musisi hayupo hii ilikuwa mwaka 1999 kocha wa jogoo akiwa Paul hasule ndio wasededi alicheza mkungu.
Yanga alichukua ubingwa pia 1993 kampla.Fainali Villa sc alikula 3 na golini alianza Nemes alipoumia akaingii Katuba. Athman Idd chuji naye alitamba kote,Mrisho Halfan Ngassa uncle!!!!!Hii ya Kizota kucheza sentahafu musisi hayupo hii ilikuwa mwaka 1999 kocha wa jogoo akiwa Paul hasule ndio wasededi alicheza mkungu.
Banka alisifika kwa misumariMohammed Banka
Hapana almarhumu Jose hakuwepo alipoumia stiven casmir nemes aliingia almarhumu riffat said waganda wakajua watatoka mkwara wake wa kwanza lilipigwa shuti akadaka kwa mkono mmoja waganda wa kachanganyikiwa. 1993 Jose bado yupo swaalet na akina msamba mascut said pamoja na iddi nasoro cheche.Yanga alichukua ubingwa pia 1993 kampla.Fainali Villa sc alikula 3 na golini alianza Nemes alipoumia akaingii Katuba. Athman Idd chuji naye alitamba kote,Mrisho Halfan Ngassa uncle!!!!!
Uko sahihi mkuu,nilichanganya majinaHapana almarhumu Jose hakuwepo alipoumia stiven casmir nemes aliingia almarhumu riffat said waganda wakajua watatoka mkwara wake wa kwanza lilipigwa shuti akadaka kwa mkono mmoja waganda wa kachanganyikiwa. 1993 Jose bado yupo swaalet na akina msamba mascut said pamoja na iddi nasoro cheche.
Mzee wa misumari,naamini atakuwa kamuachia mtu pale Simba,Mavugo sio wa kucheza vileBanka alisifika kwa misumari